Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna kama Dk Magufuli, asema Mkapa

WATANZANIA wameelezwa kuwa katika wagombea wote ambao wameidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea pekee ambaye anafaa kuiongoza Tanzania ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Jose Mourinho asema hakuna bora kama yeye

Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho amesisitiza kuwa yeye ni bora kushinda yeyote yule katika kuifunza klabu hiyo licha kupoteza mechi tatu mfululizo katika msimu huu. Baada ya kichapo hicho cha mabao 3-1 dhidi ya Everton ,Mourinho alisema kuwa watu wengi sasa wanafurahia janga lake. “Haya ni matokeo mabaya zaidi katika kazi yangu,” alisema Mourinho. “Sijazoea […]

 

10 years ago

Mwananchi

Mkapa atetea uwekezaji, asema wanasiasa hawauelewi vyema

Rais mstaafu Benjamin Mkapa amesema sekta ya uwekezaji nchini inashindwa kukua kwa kasi inayotarajiwa kutokana na baadhi ya wanasiasa kutokuielewa vizuri.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Hakuna kama Ronaldo

MWANASOKA Bora wa Mwaka wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Cristiano Ronaldo amezidi kuthibitisha uhatari wake mbele ya lango, baada ya usiku wa kuamkia jana kufunga mabao matatu ‘hat-trick’...

 

10 years ago

Mwananchi

Halima Mdee aachiwa, asema hakuna kulala

Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee (35) jana alipata dhamana baada ya kulala mahabusu kwa siku moja na muda mfupi kabla ya kuondoka katika Mahakama ya Kisutu, alisema: “Mapambano yanaendelea, hakuna kulala hadi kieleweke.”

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Rodgers:Hakuna kama Gerrard





KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini  Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...

 

10 years ago

GPL

JOKATE: HAKUNA KAMA DIAMOND

Stori: Waandishi Wetu
Jumamosi iliyopita, Oktoba 25, 2014 ilikuwa ni Siku ya Msanii Duniani ambayo kwa mara ya kwanza, Tanzania iliiadhimisha siku hiyo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal. Dr Chris Mauki na Jokate Mwegelo walikuwa washehereshaji wa tamasha hilo kwenye Ukumbi wa Mlimani City uliopo Dar es Salaam. Siku hiyo ilipambwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari: Hakuna kama Azam FC

UONGOZI wa Azam FC, umezitaka klabu nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara, kuheshimu afya za wachezaji wao, na kuwafanyia uchunguzi wa afya wakiwasajili na hata wawapo ndani ya timu kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Hakuna kama Sokoine- Kimiti

Leo Watanzania wanaadhimisha miaka 30 tangu kifo cha Edward Moringe Sokoine, ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani