Halima Mdee aachiwa, asema hakuna kulala
Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake Chadema (Bawacha), Halima Mdee (35) jana alipata dhamana baada ya kulala mahabusu kwa siku moja na muda mfupi kabla ya kuondoka katika Mahakama ya Kisutu, alisema: “Mapambano yanaendelea, hakuna kulala hadi kieleweke.â€
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo26 Nov
Halima Mdee amkana Mkono asema hakulishwa sumu
![](http://polis.parliament.go.tz/images/Pictures/1339.jpg)
Dar es Salaam. Siku moja baada ya Mbunge wa Musoma Vijijini (CCM), Nimrod Mkono kusema amelishwa sumu akiwa London, Uingereza, Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee amemtaka kusema ukweli na si kulihadaa Taifa kwa uongo.Mkono akizungumza na waandishi wa habari juzi kuelezea mwenendo wa afya yake, alisema lengo la kulishwa sumu ilikuwa ni kutaka kuharibu figo zake ndani ya saa 72 kitendo kilichoshindikana.Mdee aliyekuwa na Mkono katika ziara hiyo alisema:...
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
NYALANDU AHUTUBIA WANANCHI: Ni katika kampeni Kata ya Ikhanoda jimbo la Singida Kaskazini, asema hakuna kulala mpaka kieleweke
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akihutubia wananchi wa kijiji cha Ikhanoda Jimbo la Singida Kaskazini wakati wa Mkutano wa Kampeni wa kujinadi na kumnadi Mgombea Urais wa CCM, John Magufuli sanjari na Diwani wa Kata hiyo Hinga Mnyawi jana.
Nyalandu kihutubia mkutano kijiji cha ikhanoda.
Mmoja wa wabibi wa kijiji cha Ikhanoda akicheza mziki wakati wa mkutano wa kampeni wa mgombea Ubunge wa Jimbo la Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu.
Bibi: bibi akicheza mziki wakati wa...
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Chadema: Hakuna kulala, hakuna kula
9 years ago
Raia Mwema30 Sep
Hakuna kulala
WIKI tatu kabla ya kuhitimishwa kwa kampeni za Uchaguzi Mkuu, vyama vyenye ushindani mkubwa Chama
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi25 Aug
Hakuna kulala leo
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Lowassa: Hakuna kulala
9 years ago
Habarileo28 Aug
Yanga hakuna kulala
ZIKIWA zimesalia takribani wiki mbili kuanza kwa Ligi Kuu Tanzania Bara, mabingwa watetezi wa ligi hiyo, Yanga wamepanga kujichimbia Zanzibar kwa maandalizi ya mwisho. Kwa sasa timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo zipo mafichoni kujiweka sawa kabla kipute hakijaanza rasmi Septemba 12, mwaka huu kwa msimu wa 2015-16.
9 years ago
Mwananchi16 Sep
Mghwira: Hakuna kulala
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
JK amzimia Halima Mdee
MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee (CHADEMA), jana aligeuka kivutio kikubwa katika hafla ya uzinduzi wa barabara ya Mwenge hadi Tegeta. Katika uzinduzi huo uliofanyika jana jijini Dar es salaam, Mdee,...