JOKATE: HAKUNA KAMA DIAMOND
![](http://api.ning.com:80/files/LRabT8flycEoRSbMXZ9etiDvgv3Bs2PV3Olyi3Dvxw6ePNOLMLBhuVexJofSQRnHqWOAA6aJ6fx6kgaCGlpPtTInsbO4dnZ8/jokate.jpg)
Stori: Waandishi Wetu Jumamosi iliyopita, Oktoba 25, 2014 ilikuwa ni Siku ya Msanii Duniani ambayo kwa mara ya kwanza, Tanzania iliiadhimisha siku hiyo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal. Dr Chris Mauki na Jokate Mwegelo walikuwa washehereshaji wa tamasha hilo kwenye Ukumbi wa Mlimani City uliopo Dar es Salaam. Siku hiyo ilipambwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies19 Jul
Baada ya Ushindi wa Tuzo, Diamond Atupa Dongo kwa Jokate, Jokate Naye Ajibu
Usiku wa jana kuamkia leo July 19 2015 Diamond Platnumz kanyanyua ushindi mwingine kwenye Tuzo za MTVMAMA2015, zilizokuwa zikitolewa Durban Africa Kusini.
Leo Diamond alipost Video inayomwonesha staa wa Mitindo Bongo, mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akicheza wimbo wa ‘Mdogomdogo‘ alafu akaandikia hivi >>>> ‘Mbona Bado, Mtanyooka tu..‘ >>>> @ diamondplatnumz
Baadae Jokate nae akaandika kwenye ukurasa wake wa @Instagram kuhusu video hiyo ambayo alimpost Diamond.
Tuki-support mtu ndio kama hivi...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TJP9R5X7WnduUic2Arb8YLrOHu-LM0R*K*di9fYcfEk8SRHi7c8xX9pVcQDjqjIiM5q8AJAt-elRB*mZ79evJ4LdS9i8GFZu/Kiba.jpg)
JOKATE, KIBA HAKUNA NDOA!
10 years ago
Tanzania Daima08 Dec
Hakuna kama Ronaldo
MWANASOKA Bora wa Mwaka wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Cristiano Ronaldo amezidi kuthibitisha uhatari wake mbele ya lango, baada ya usiku wa kuamkia jana kufunga mabao matatu ‘hat-trick’...
9 years ago
Mwananchi29 Sep
Hakuna maendeleo kama hatujaelimika
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-VockhVywqyk/VVii_KLDtdI/AAAAAAAACG8/6rztfePEkQA/s72-c/gerrard.jpg)
Rodgers:Hakuna kama Gerrard
![](http://2.bp.blogspot.com/-VockhVywqyk/VVii_KLDtdI/AAAAAAAACG8/6rztfePEkQA/s400/gerrard.jpg)
KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Daktari: Hakuna kama Azam FC
UONGOZI wa Azam FC, umezitaka klabu nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara, kuheshimu afya za wachezaji wao, na kuwafanyia uchunguzi wa afya wakiwasajili na hata wawapo ndani ya timu kwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8k2*97pl68xXzXfwLzSnf5et*1bgxiZSvqPBpLUvPNG38miKxcLssqKFXUzhzeP3uAPrHr8JkfcFclLIezDPhfb-rD3I4bYm/frontWIKIENDA.jpg?width=650)
HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA
11 years ago
Mwananchi12 Apr
Hakuna kama Sokoine- Kimiti
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXQXTiQrZWBOB1Mo*rcMSrECBgTRrg9HMbhcHXZv3yWI-7Ev92cy8chnjhvfz2Ye*eTdlP6nuLSPs2LkYI20kwT*/88.jpg?width=650)
JOKATE AMLIPUA DIAMOND!