Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hakuna maendeleo kama hatujaelimika

Maendeleo yanahusiana moja kwa moja na elimu. Maana elimu ndiyo inayokuza michepuo ya akili ya binadamu aweze kubuni, kutenda, kuvumbua, kutengeneza vitu mbalimbali na kupata ufumbuzi wa matatizo yanayomkabili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Hakuna kama Ronaldo

MWANASOKA Bora wa Mwaka wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), Cristiano Ronaldo amezidi kuthibitisha uhatari wake mbele ya lango, baada ya usiku wa kuamkia jana kufunga mabao matatu ‘hat-trick’...

 

10 years ago

GPL

HAKUNA KAMA CHRISTIAN BELLA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa Wikienda
Wikiendi iliyopita, dunia nzima ilikuwa ikiadhimisha siku ya Valentine’s Day au kwa Kiswahili Siku ya Wapendanao! Mambo yalinoga ndani ya Ukumbi wa Dar Live ambapo wakali wa mapenzi, Christian Bella ‘Obama’ na Mzee Yusuf walifanya yao na kuzikonga vilivyo nyoyo za maelfu ya mashabiki waliofurika, Ijumaa Wikienda lilikuwepo kuanzia mwanzo mpaka mwisho. Mkali wa mapenzi,...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Rodgers:Hakuna kama Gerrard





KOCHA wa Mkuu wa Liverpool, Brendan Rodgers, amesema hakuna mchezaji anayeweza kuchukua nafasi ya nahodha Steven Gerrard.Rodgers alisema kuondoka kwa Gerrard katika kikosi hicho ni pengo kubwa kwa kuwa nahodha huyo alikuwa hodari na mtu aliyejituma.Kocha huyo alisema mchezaji huyo alikuwa ni moja ya wachezaji ambao wameisaidia Liverpool kupata mafanikio makubwa."Kuna wachezaji wengi na wazuri England, lakini  Liverpool haiwezi kupata mchezaji mzuri kama Gerrard ambaye hawezi kufananishwa na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daktari: Hakuna kama Azam FC

UONGOZI wa Azam FC, umezitaka klabu nyingine za Ligi Kuu Tanzania Bara, kuheshimu afya za wachezaji wao, na kuwafanyia uchunguzi wa afya wakiwasajili na hata wawapo ndani ya timu kwa...

 

10 years ago

GPL

JOKATE: HAKUNA KAMA DIAMOND

Stori: Waandishi Wetu
Jumamosi iliyopita, Oktoba 25, 2014 ilikuwa ni Siku ya Msanii Duniani ambayo kwa mara ya kwanza, Tanzania iliiadhimisha siku hiyo katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar, mgeni rasmi akiwa ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Gharib Bilal. Dr Chris Mauki na Jokate Mwegelo walikuwa washehereshaji wa tamasha hilo kwenye Ukumbi wa Mlimani City uliopo Dar es Salaam. Siku hiyo ilipambwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Hakuna kama Sokoine- Kimiti

Leo Watanzania wanaadhimisha miaka 30 tangu kifo cha Edward Moringe Sokoine, ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amesema viatu vya Hayati Waziri Mkuu wa tatu, Edward Sokoine ni vikubwa sana na kwamba havivaliki.

 

9 years ago

Habarileo

Hakuna kama Dk Magufuli, asema Mkapa

WATANZANIA wameelezwa kuwa katika wagombea wote ambao wameidhinishwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), mgombea pekee ambaye anafaa kuiongoza Tanzania ni mgombea wa CCM, Dk John Magufuli.

 

10 years ago

Michuzi

HAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU - KITWANGA

Mhe. Charles Kitwanga ( Mb) Naibu Waziri, Nishati na Madini akizungumzia namna Tanzania inavyotekeleza Mkakati wa Nishati Endelevu kwa Wote (SE4All) wakati wa Mkutano wa siku Mbili wa Mawaziri wa Sekta ya Nishani, uliofanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ambao wamefuatana na Naibu Waziri katika mkutano huu muhimu uliojadili kwa kina nafasi na umuhimu wa nishati endelevu kwa wote katika kusukuma mbele malengo ya maendeleo endelevu , ukuaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani