HAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU - KITWANGA
Mhe. Charles Kitwanga ( Mb) Naibu Waziri, Nishati na Madini akizungumzia namna Tanzania inavyotekeleza Mkakati wa Nishati Endelevu kwa Wote (SE4All) wakati wa Mkutano wa siku Mbili wa Mawaziri wa Sekta ya Nishani, uliofanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa.
Wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini ambao wamefuatana na Naibu Waziri katika mkutano huu muhimu uliojadili kwa kina nafasi na umuhimu wa nishati endelevu kwa wote katika kusukuma mbele malengo ya maendeleo endelevu , ukuaji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI ENDELEVU-MHE KITWANGA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-tn_gx7jJjP4/VV7auRCGFSI/AAAAAAAHY7o/bmRHNuy1tq8/s72-c/unnamed%2B%25284%2529.jpg)
HAKUNA MAENDELEO BILA NISHATI YA UHAKIKA-MHE. KITWANGA
10 years ago
VijimamboMAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI KUHUSU NISHATI ENDELEVU KWA WOTE
Na Mwandishi Maalum, New York
Naibu ...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-bAk3UCGRWgA/VV1MdM717KI/AAAAAAAHYvA/DaDC3s75aK0/s72-c/unnamed%2B%252863%2529.jpg)
MAWAZIRI WA NISHATI WAJADILI NISHATI ENDELEVU KWA WOTE.
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI GEORGE SIMBACHAWENE AFUNGUA MKUTANO WA KUJADILI NISHATI ENDELEVU NCHINI KWA WOTE
10 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI WA NISHATI NA MADINI CHARLES KITWANGA AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA WAFANYAKAZI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qLATbIl49jQ/VfFMBkbxeWI/AAAAAAAH3xA/E58GVKH3U9w/s72-c/image.jpg)
SHULE ZA SEKONDARI NCHINI ZASHAURIWA KUWEKEZA KATIKA MATUMIZI YA NISHATI ENDELEVU YA BIOGESI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-qLATbIl49jQ/VfFMBkbxeWI/AAAAAAAH3xA/E58GVKH3U9w/s640/image.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8E26RAgPpus/VfFMBn-4xZI/AAAAAAAH3w8/bLf1f9RYsjo/s640/image_2.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Shule za Sekondari nchini zashauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi
Mkuu wa Shule ya Sekondari Manzese Bw.Linus Mwakasege akitoa ufafanusi kwa waandishi wa habari kuhusu manufaa ya mradi wa nishati endelevu ya Biogesi utakavyowanufaisha wanafunzi wa shule hiyo. (Picha zote na Aron Msigwa-MAELEZO).
Aron Msigwa-MAELEZO
9/9/2015.Dar es salaam.
Shule za Sekondari kote nchini zimeshauriwa kuwekeza katika matumizi ya Nishati endelevu ya Biogesi na majiko sanifu ili kulinda na kuhifadhi mazingira.
Ushauri huo umetolewa na Meneja Uhusiano wa Jamii wa Mamlaka ya Maji...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s72-c/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Kitwanga, asikitishwa na mtindo wa “Tegesha” unaofanywa na wananchi eneo la kuzunguka mgodi wa North Mara
![](http://1.bp.blogspot.com/-mNbbSSFRDOM/VUejqZbObOI/AAAAAAAC4AM/PF_MlI6DAUs/s640/Kitwanga_Mwanamama.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-hgVmZvbHh6k/VUejr85IhUI/AAAAAAAC4AU/jaR3I1lY-po/s640/Kitwanga_Tegesha.jpg)