Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shivji: Magufuli kama Sokoine

SIKU 50 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, kuna mambo aliyafanya kwa vitendo ambayo bila

Issa Shivji

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Hakuna kama Sokoine- Kimiti

Leo Watanzania wanaadhimisha miaka 30 tangu kifo cha Edward Moringe Sokoine, ambaye alikuwa Waziri Mkuu wa Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Lowassa: Hakuna kama Edward Sokoine

Waziri Mkuu Mstaafu, Edward Lowassa amesema viatu vya Hayati Waziri Mkuu wa tatu, Edward Sokoine ni vikubwa sana na kwamba havivaliki.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aapa kumuenzi Sokoine

MGOMBEA Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk John Magufuli amesema endapo uchaguzi utafanyika leo, atashinda kwa asilimia 80, lakini akasema anachokifanya sasa ni kupita kwa wananchi ili kuongeza idadi ya kura kufikia asilimia zaidi ya 90.

 

9 years ago

GPL

MAGUFULI AZURU KABURI LA SOKOINE

Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Pombe Magufuli akiweka shada kwenye kaburi la Waziri Mkuu wa zamani, Edward Moringe Sokoine, Monduli Juu. Mke wa Sokoine na binti yake (amabaye ni mgombea ubunge wa Jimbo la Monduli kwa tiketi ya CCM, Namelock Sokoine) wakiweka shada kwenye kaburi hilo. Magufuli akicheza ngoma ya kabila la Kimasai. PICHA: RICHARD BUKOS ALIYEKO… ...

 

10 years ago

GPL

SOKOINE AREJEA NCHINI NDANI YA JOHN MAGUFULI

Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, marehemu Edward Moringe Sokoine. MGOMBEA wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Joseph Magufuli (pichani) amefananishwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kiutendaji, marehemu Edward Moringe Sokoine. Wakizungumza na gazeti hili wananchi mbalimbali walisema ikiwa Dk. Magufuli atachaguliwa kuongoza nchi, atakuwa kama Sokoine aliyekuwa muumini wa kusimamia sheria za nchi na...

 

9 years ago

Michuzi

MAGUFULI AZURU KABULI LA WAZIRI MKUU WA ZAMANI EDWARD SOKOINE

 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli akiweka shada la Maua kwenye kabuli la Waziri Mkuu wa zamani,Hayati Edward Sokoine Moringe,ambapo pia akiwa na baadhi  ya wajumbe wa kamati ya ushindi ya kampeni ya CCM,walishiriki sala ya pamoja ya kumuombea Marehemu. Mke wa Marehemu Sokoine akisaidiwa kuweka shada la maua
 Mgombea Urais wa CCM Dkt Magufuli (wa pili kushoto),akiwa ameambatana na baadhi  ya wajumbe wa kamati ya ushindi ya kampeni ya CCM,wakishiriki sala ya pamoja ya kumuombea...

 

9 years ago

Dewji Blog

Dkt. John Pombe Magufuli aipasuapasua Chadema Arusha, asema “Nitamuenzi Sokoine vita ya ufisadi”

????????????????????????????????????

Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha wakati akiwaomba wananchi wa jiji hilo kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika nchini kote na kushirikisha vyama mbalimbali vya kisiasa.

Amesema Mara atakapochaguliwa na kuongoza taifa la Tanzania serikali yake itamuenzi Wazriri...

 

9 years ago

Michuzi

JAYDEN KAMA MAGUFULI

Mtoto Jayden (mtoto wa Halima Ally) akifanya push-up kama anavyofanya mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi Mhe. John Pombe Joseph Magufuli, Jayden ni mkaazi wa Maryland nchini Marekani.Jayden akifuata nyayo za mama yake Halima Ally ambaye ni muumini wa CCM

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Magufuli: TZ kama Ulaya inawezekana

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema Tanzania inaweza kuwa kama nchi za Ulaya iwapo tu wananchi wataridhia aongoze Serikali ya Awamu ya Tano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani