SOKOINE AREJEA NCHINI NDANI YA JOHN MAGUFULI
![](http://api.ning.com:80/files/GlhbBvgh3mgc9peNSgVMtahVgZzGYtY2sFYvVlGwM*JQP5lc9FrWdAbeTIt7eIN3pm7c7ANrE8hipOVMxlyhNs0T9V9FDS6H/EdwardSokoine.jpg)
Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania, marehemu Edward Moringe Sokoine. MGOMBEA wa urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Pombe Joseph Magufuli (pichani) amefananishwa na aliyekuwa Waziri Mkuu wa Tanzania kiutendaji, marehemu Edward Moringe Sokoine. Wakizungumza na gazeti hili wananchi mbalimbali walisema ikiwa Dk. Magufuli atachaguliwa kuongoza nchi, atakuwa kama Sokoine aliyekuwa muumini wa kusimamia sheria za nchi na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Dkt. John Pombe Magufuli aipasuapasua Chadema Arusha, asema “Nitamuenzi Sokoine vita ya ufisadi”
Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha wakati akiwaomba wananchi wa jiji hilo kumpigia kura za ndiyo ifikapo Oktoba 25 mwaka huu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika nchini kote na kushirikisha vyama mbalimbali vya kisiasa.
Amesema Mara atakapochaguliwa na kuongoza taifa la Tanzania serikali yake itamuenzi Wazriri...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-sM3EgebYs_s/VQLDOUGlH8I/AAAAAAAHKDg/UnJoInfBhm4/s72-c/unnamed%2B(18).jpg)
WAZIRI WA UJENZI DKT. JOHN MAGUFULI , AWAFUNDA MAMENEJA MIKOA WA TBA NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-sM3EgebYs_s/VQLDOUGlH8I/AAAAAAAHKDg/UnJoInfBhm4/s1600/unnamed%2B(18).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-zhMzfiW14gI/VQLDOUnL_5I/AAAAAAAHKDE/F2GU9cEyD84/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s72-c/JUMA%2BPINTO.jpg)
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) champongeza Dkt John Magufuli
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s640/JUMA%2BPINTO.jpg)
9 years ago
MichuziViongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
10 years ago
GPLWAZIRI WA UJENZI DKT JOHN MAGUFULI AZUNGUMZA NA WATENDAJI WA KAMPUNI YA UKANDARASI WA BARABARA YA DOT SERVICES YA NCHINI UGANDA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-hIhSF7OpcFs/Vc3LOjvXzUI/AAAAAAAC9po/n_o6_Ak-cZw/s72-c/4.jpg)
CCM YAKANUSHA UVUMI WA HABARI YA MGOMBEA WAKE WA URAIS DKT JOHN MAGUFULI KUAHIDI KUGAWA KOMPYUTA KWA WALIMU NCHINI
![](http://4.bp.blogspot.com/-hIhSF7OpcFs/Vc3LOjvXzUI/AAAAAAAC9po/n_o6_Ak-cZw/s640/4.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s72-c/IMG-20150712-WA0138.jpg)
MDAU JOHN CHACHA AMPONGEZA DKT JOHN MAGUFULI KWA USHINDI WA KUIPEPERESHA BENDERA YA CCM KUWANIA URAIS 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-ylUaZN0EXhk/VaNJFMGPlnI/AAAAAAAC8b0/ccxgqzrXZu8/s640/IMG-20150712-WA0138.jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/magufuli-1-001.jpg?width=650)
MAGUFULI AZURU KABURI LA SOKOINE
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Shivji: Magufuli kama Sokoine
SIKU 50 tangu Rais John Magufuli aingie madarakani, kuna mambo aliyafanya kwa vitendo ambayo bila
Issa Shivji