Shilole Azumgumza Mengine Haya Kuhusu Rungu la Basata
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) July 30 walimkabidhi barua ya kumsimamisha Shilole kufanya kazi za muziki kwa muda wa mwaka mmoja,taarifa ambayo iliwashtua wadau wengi wa muziki kuhoji zaidi kuhusu hukumu hiyo namna ilivyofanywa.
Kama unakumbuka miezi 3 iliyopita Shilole alienda kufanya show nchini Ubelgiji wakati akitumbuiza jukwaani kwa bahati mbaya sehemu ya kifua chake(TITI) ilijitokeza kwa nje baadae picha zikapigwa na kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.
Baada ya hukumu hiyo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies04 Jul
Mwanaume aliyezaa na Shilole Atoboa Haya Kuhusu Yeye na Shilole
Yule mwanaume aliyezaa na Staa wa Bongo Movies na Fleva,Shilole,aitwaye Elias Makala ameibuka na kuzungumza na U heard na Soudy Brown kuwa hakuwahi kumbaka msaniii huyo kama ambayo anazungumza kwenye vyombo vya habari.
‘’Mimi namshangaa sana Shilole anavyosema kuwa nilimbaka,sijawahi kumbaka nilikuwa naishi naye kama mume na mke kwa zaidi ya miaka saba, na nilimuuliza kwanini anasema uongo kuwa nilimbaka alinijibu kuwa habari hiyo inamsaidia kumpaisha (kick) kwenye muziki wake,’’alisema...
10 years ago
Bongo Movies10 Aug
Wema Sepetu Afunguka Mengine Haya kuhusu Magufuli na Lowassa..
Wakati wagombea mbalimbali wa vyama vya Siasa nchini Tanzania wakiwa na wafuasi wao wakiendelea kuingia kwenye headlines mbalimbali Aug 10 nakukutanisha na hii post ya Mrembo Wema Sepetu.
Kama unamfatilia Wema Sepetu kwenye mitandao yake ya kijamii leo kupitia mtandao wa Instagram kapost picha inayomuonyesha Waziri wa ujenzi John Magufuli akisalimiana na Steve Nyerere pamoja na Rais Jakaya Kikwete.
Kwenye post yake ameipa maneno haya “Wamoja havai Mbili…. Alafu nina msg to Team Wema …...
10 years ago
Vijimambo
Shilole Akiongelea ni kuhusu Baraza la sanaa Tanzania [BASATA] kumfungia...

Shilole amelalamikia uwamuzi wa BASATA kumfungia kufnya muziki na shughuli za kisanii kwa muda wa mwaka mmoja, Hii video Exclusive kutoka FahamuTv na Sammisago.com, Audio ya Sauti kutoka BASATA Inasikia pia.
9 years ago
MillardAyo28 Dec
Shilole mpaka Nigeria? kayazungumza haya kuhusu collabo aliyoifanya na msanii wa Nigeria…
Headlines za Dec 28 zinakwenda kwa Shilole ambaye wiki kadhaa zilizopita alikuwa nchini Nigeria kwaajili ya show yake akiwa na Feza Kessy & Lina Sanga, sasa msanii huyo baada ya kurudi Tanzania amefanya exclusive interview na ripota wa millardayo.com kufunguka kuhusu collabo aliyoifanya nchini Nigeria. ‘Nilikuwa niko Nigeria kwaajili ya kufanya show na kutafuta connection […]
The post Shilole mpaka Nigeria? kayazungumza haya kuhusu collabo aliyoifanya na msanii wa Nigeria… appeared first on...
10 years ago
Bongo Movies31 Aug
Shilole Akaidi Adhabu ya Basata
Msanii Zuwena Mohamed alimaarufu kama Shilole amekaidi adhabu aliyopewa na Baraza la Sanaa Tanzania (Basata) iliyomtaka kutoshiriki masuala ya sanaa ndani na nje ya nchi kwa mwaka mzima.
Shilole amekaidi adhabu hiyo baada ya kuonekana akifanya show katika kampeni za Chama Cha Mapinduzi (CCM) akimnadi Mgombea nafasi ya urais wa chama hicho Dk. John Magufuli wakati wapo jijini Mbeya siku kadha zilizopita.
Kipindi cha Planet Bongo kilitaka kufahamu endapo adhabu ya msanii huyo imefutwa, na...
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6
Wanasema gari ni mtu mwenyewe, katika utafiti wa harakaharaka wa macho nimegundua miongoni mwa magari mengi yanayotumika na Watanzania sasa hivi ni pamoja na Passo ambayo inasifika kwa kuwa na nafasi nzuri ndani lakini pia utumiaji wa mafuta ni mdogo, vilevile spea kupatikana ni rahisi. Pamoja na kwamba unaweza kufurahi umepata gari ambalo halitumii sana […]
The post Inawezekana na gari lako ni Passo lakini halivutii kama haya mengine 6 appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
Bongo Movies09 Sep
BASATA Kumtwanga Nyundo Nyingine Shilole!
Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye.
Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa.
Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa kwa Shilole imetokana na sheria na kanuni zilizotokana na bunge na kwamba kwa sasa wanakusanya ushahidi ili...
10 years ago
Bongo Movies24 Aug
Adhabu ya Shilole Ipo Palepale —Basata
Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA) limetoa kauli kuwa adhabu ya kufungiwa kutojihusishwa na sanaa kwa mwaka mmoja ndani na nje ya nchi msanii Shilole ipo palepale, kauli ya hiyo imekuja baada ya msanii huyo kusema kuwa atakwenda kufanya shoo nchini Marekani pamoja na msanii mwenzake Ommy Dimpozi licha ya kufungiwa kwa mwaka mmoja.
Akiongea na East Afrika Radio Shilole alisema amejiandaa vizuri sana katika shoo ambayo anapaswa kuifanya nchini Marekani siku za karibuni, na alipoulizwa...
10 years ago
Bongo Movies31 Jul
Shilole Afunguka Baada ya Kufungiwa na BASATA
Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) limemfungia Shilole kutojihusisha na kazi yoyote ya sanaa kwa muda wa mwaka mmoja.
Barua kutoka BASATA inasema hivi:
“Tarehe 9 May 2015 ukiwa katika onyesho lako la muziki Ubelgiji ulicheza uchi mbele ya hadhira ya wapenda sanaa za Tanzania hivyo kudhalilisha utu wako na jamii ya kitanzania kimaadili‘
‘BASATA ilipata habari zako, kumbuka pia October 2013 BASATA lilikuonya na ukakiri kwa kuomba msamaha tabia yako ya kucheza bila kuzingatia maadili uwapo...