BENKI YA CRDB YAKABIDHI PASSO KWA MSHINDI WA SHINDANO LA "TUMA PESA NA SIMBANKING SHINDA PASSO
Mshindi wa Promosheni ya 'Tuma Pesa na Simbanking Shinda Passo' Mwinyi Khamis Juma mkazi wa Mbalali mkoani Mbeya, akipunga mkono baada ya kukabidhiwa zawadi yake katika hafla iliyofanyika mkoani Mbeya juzi. Kushoto ni Mkurugenzi wa Benki ya CRDB Mkoa wa Mbeya, Benson Mwakyusa na Mkurugenzi wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa. (Na Mpiga Picha Wetu)
Mkurugenzi wa Masoko Utafiti na Huduma kwa Wateja wa Benki ya CRDB, Tully Mwambapa (aliyeshika mfano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-tt4GjUIs1nk/Vmp5cd-Ro2I/AAAAAAABlbk/GdCi4-kjTIs/s72-c/1.jpg)
BENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA SHINDANO LA 'TUMA PESA NA SIMBANKING SHINDA PASSO'
![](http://3.bp.blogspot.com/-tt4GjUIs1nk/Vmp5cd-Ro2I/AAAAAAABlbk/GdCi4-kjTIs/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uYWpe-7dr4k/Vmp5g2zGE5I/AAAAAAABlcI/aJImTjS_zFI/s640/3.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uf3GYoslWlY/Vmp5k8Rj--I/AAAAAAABlcc/MrMmKLw5vkc/s640/7.jpg)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI ZAWADI KWA WASHINDI WA PROMOSHENI YA 'Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--udduCuTVcw/VNwdZArqNCI/AAAAAAAHDL0/rISS2H4N888/s72-c/unnamed%2B(1).png)
Tuma Pesa na SimBanking shinda PASSO
![](http://4.bp.blogspot.com/--udduCuTVcw/VNwdZArqNCI/AAAAAAAHDL0/rISS2H4N888/s1600/unnamed%2B(1).png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fxjoqOtDSgo/VNweCJdg3EI/AAAAAAAHDL8/pSzL9k2rVSE/s1600/unnamed%2B(2).png)
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZIDI KUMWAGA PASSO KWA WATEJA WAKE
11 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YABORESHA HUDUMA ZA SIMBANKING
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAZINDUA KAMPENI YA UTUMIAJI WA SimBanking NA FAHARI HUDUMA WAKALA
BENKI ya CRDB imezindua kampeni maalum ya utumiaji wa huduma zake kupitia simu za mkononi ‘SimBanking’ kupitia kwa mawakala wa ‘FahariHuduma’.
Akizungumza jijini Dar es Salaam katika uzinduzi wa kampeni hiyo ijulikanayo kama ‘Tuma Pesa na SimBanking Shinda Passo’, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo, Dk. Charles Kimei alisema lengo la kuanzisha kampeni hiyo ni kuwakumbusha wateja wake na watanzania wote kwa ujumla umuhimu wa kutumia njia hizo mbadala ili kupata huduma kwa...
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Enhance Auto yakabidhi Gari kwa mshindi wa shindano la matumizi bora ya mitandao ya kijamii
![](http://3.bp.blogspot.com/-5oem3JbZvjc/Vm1Za8s6ZtI/AAAAAAAAm8U/SeddYaogem0/s640/3.jpg)
Kamanda wa Kikosi Usalama barabarani, Mohamed Mpinga (kulia) akimkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Surf, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jackson Kapongo aliyeshinda kupitia mchezo wa Matumizi bora ya Mitandao ya Kijamii iliyoendeshwa na Kampuni ya Enhance Auto ya Jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt.(Picha na Father Kidevu Blog).
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZN1_LDWV9UQ/Vm1q-91-1eI/AAAAAAAAm8k/KXsCJRATPfA/s640/2A.jpg)
Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt akionesha stika za kuhamasisha usalama barabarani...
10 years ago
MichuziBENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-aT2d39R-l2k/VJLhiDmEblI/AAAAAAAG4Ng/nARpqteTzJY/s72-c/unnamed.jpg)
Benki ya NBC yakabidhi bodaboda kwa mshindi wa Weka Upewe Karatu
![](http://1.bp.blogspot.com/-aT2d39R-l2k/VJLhiDmEblI/AAAAAAAG4Ng/nARpqteTzJY/s1600/unnamed.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10