Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ubovu wa lifti MNH wakwamisha huduma

Shughuli za Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) za utoaji wa huduma kwa wagonjwa zimekuwa zikikwama kutokana na ubovu wa lifti na kusababisha ufanisi wa kazi kuwa mdogo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lifti Muhimbili zazua kasheshe

Dar es Salaam. Lifti za wodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika na kusababisha wauguzi kulazimika kuwabeba wagonjwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

 

10 years ago

GPL

SHOGA, GARI LAKO LEO UNAOMBA LIFTI?

JAMANII mmmh! Makubwa madogo yana nafuu, hivi jamani mwenye nyumba akikamatwa anadokoa mboga si aibu eeeh? Nyama upike mwenyewe kisha udokoe? Basi wakati mwingine tuiache akili ya kawaida ifanye kazi yake na si kutumia akili za chini. Inawezekana kiburi cha barafu kushindana na jua ndicho kinatuponza. Shoga wee! Naona mimacho imekutoka kama umeona sisimizi kameza nazi na kujiuliza leo nimekujaje kama hunielewi vile. Hebu kaa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watawa wakwama ndani ya lifti kwa siku 3

Watawa wawili wameokolewa kutoka kwa lifti mjini Rome baada ya kukwama kwa siku tatu bila chakula wala maji.

 

11 years ago

Michuzi

Wait & Watch kutoka na filamu ya ‘Lifti’

KAMPUNI inayokwenda kwa jina la Wait & Watch Film Company Ltd, ipo mbioni kukamilisha filamu yake ya kwanza itakayojulikana kama ‘Lifti’ inayotengenezwa kwa umakini wa hali ya juu.Adam Mchomvu, mmoja  ya wasanii walioshiriki katika filamu ijulikanayo kwa jina la Lifti.Filamu hiyo itakuwa ya kwanza tangu kampuni hiyo iliposajiliwa kwa ajili ya kujihusisha na kazi mbalimbali za sanaa, ikiwamo filamu hapa nchini, huku ikiwa na mipango lukuki.Akizungumza leo asubuhi, jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tutumie lifti za majengo makubwa na marefu kistaarabu kuepuka ajali zisizo za lazima!

elevator-11Moja ya batani za lifti 

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[TANZANIA] Jiji la Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji makubwa katika bara la Afrika huku likiwa ni miongoni mwa majiji yanayoendelea kukuwa kwa kasi hasa katika nyanja za kiuchumi, biashara na ukuaji wa watu kila kukicha huku majengo makubwa na marefu ya makazi na kibiashara nayo yakishamili kila kukicha.

Tunaamini kuwa ukuaji wa majengo marefu na makubwa tukizoea kuyaita magorofa kama yanavyofahaamikaa katika majengo haya yamekuwa...

 

11 years ago

Bongo5

Video ya mchezaji wa NFL akimpiga ngumi mkewe kwenye lifti hadi kuanguka na kuzimia yasambaa

Rais Barack Obama wa Marekani amemlaani vikali mchezaji wa timu ya football Baltimore Ravens, Ray Rice baada ya video inayoonesha akimpiga ngumi mchumbawa wak, Janay Palmer hadi kuanguka chini akizimia wakati wakibishana wakiwa kwenye lifti. Tukio hilo lilitokea huko Atlantic City mwezi February mwaka huu lakini video hiyo imewekwa na mtandao wa TMZ jana Jumatatu. […]

 

9 years ago

TheCitizen

MNH to decongest wards

Authorities at Muhimbili National Hospital (MNH) have embarked on a move to reduce the number of patients who overstay in an effort to find a lasting solution to congestion.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yajitetea ubovu miundombinu

Wizara ya Ujenzi imesema kuwa asilimia kubwa ya miundombinu iliyoharibiwa na mafuriko haikujengwa chini ya kiwango kama inavyodaiwa, bali ni matokeo ya uharibifu wa mazingira.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu achambua ubovu wa Katiba

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lisu, ameendelea kuiponda Katiba iliyopendekezwa akidai kuwa ni ya kisanii na haijawahi kutokea duniani. Akituhubia maelfu ya wananchi waliofurika kwenye viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani