Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutumie lifti za majengo makubwa na marefu kistaarabu kuepuka ajali zisizo za lazima!

elevator-11Moja ya batani za lifti 

Na Andrew Chale, Modewjiblog

[TANZANIA] Jiji la Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji makubwa katika bara la Afrika huku likiwa ni miongoni mwa majiji yanayoendelea kukuwa kwa kasi hasa katika nyanja za kiuchumi, biashara na ukuaji wa watu kila kukicha huku majengo makubwa na marefu ya makazi na kibiashara nayo yakishamili kila kukicha.

Tunaamini kuwa ukuaji wa majengo marefu na makubwa tukizoea kuyaita magorofa kama yanavyofahaamikaa katika majengo haya yamekuwa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

JE WAJUA UNAWEZA KUNUNUA ARDHI KATIKA MAJENGO MAREFU YANAYOJENGWA SIKU HIZI ?

Na Bashir YakubMara  nyingi  tunapoongelea  umiliki  wa  ardhi  watu  wengi  hukimbilia  kufikiri  kumiliki  ardhi   labda  Pugu,  Bunju, Tegeta, Kimara  na  hata  huko  mikoani.   Wengi  hudhani  kumiliki  ardhi  lazima   iwe  nyumba  hizi  nyumba  za  kawaida   tulizozoea  au  kiwanja    kama  viwanja tulivyozoea au  shamba  kama  shamba.  Sikatai  kuwa  hizi  sio  ardhi   hapana  hizi  ni  ardhi   ila  ni  vema  sana  kuelewa  kuwa  ulimwengu  umekua  sana  na  kila  kitu  kimepanuka ...

 

5 years ago

BBCSwahili

Magufuli: Atahadharisha kutofanya safari za lazima kuepuka virusi vya corona

Rais John Magufuli ametahadharisha watanzania kutopuuza ugonjwa huu, akiwataka kuchukua hatua ili kudhibiti ili usiingie Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Kufeli ni ajali, maisha lazima yaendelee

Elimu ni silaha muhimu katika kupambana na changamoto za maisha. Hawakukosea waliosema kuwa “elimu ni ufunguo wa maisha” kwani mtu anapokuwa na elimu ya kutosha, siyo tu atakuwa katika nafasi nzuri ya kupata ajira, bali atapambana na mazingira yake ili kupata maisha bora.

 

11 years ago

Mwananchi

Tutumie hii sanaa kuitangaza nchi yetu

“Naweza kusema sanaa inachukua muda mwingi wa maisha yangu. Kwani katika kila dakika ninayoishi, nimekuwa nikiitumia kufikiri ni kitu gani kipya cha ubunifu naweza kufanya kujiingizia kipato,” anaanza kusema mbunifu wa mitindo na msanii wa mkongwe nchini Fatma Amour.

 

10 years ago

Mwananchi

Lifti Muhimbili zazua kasheshe

Dar es Salaam. Lifti za wodi ya Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeharibika na kusababisha wauguzi kulazimika kuwabeba wagonjwa kwa ajili ya kupatiwa matibabu.

 

11 years ago

Mwananchi

Ubovu wa lifti MNH wakwamisha huduma

Shughuli za Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) za utoaji wa huduma kwa wagonjwa zimekuwa zikikwama kutokana na ubovu wa lifti na kusababisha ufanisi wa kazi kuwa mdogo.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Kampeni ziwe za kistaarabu

RAIS Jakaya Kikwete amewataka Watanzania kufanya kampeni za kistaarabu, kwakuwa nchi ya Tanzania inayo sifa ya kuendesha mambo yake kwa njia ya amani na utulivu.

 

9 years ago

GPL

SHOGA, GARI LAKO LEO UNAOMBA LIFTI?

JAMANII mmmh! Makubwa madogo yana nafuu, hivi jamani mwenye nyumba akikamatwa anadokoa mboga si aibu eeeh? Nyama upike mwenyewe kisha udokoe? Basi wakati mwingine tuiache akili ya kawaida ifanye kazi yake na si kutumia akili za chini. Inawezekana kiburi cha barafu kushindana na jua ndicho kinatuponza. Shoga wee! Naona mimacho imekutoka kama umeona sisimizi kameza nazi na kujiuliza leo nimekujaje kama hunielewi vile. Hebu kaa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani