JE WAJUA UNAWEZA KUNUNUA ARDHI KATIKA MAJENGO MAREFU YANAYOJENGWA SIKU HIZI ?
![](http://3.bp.blogspot.com/-ohuzHtbauL0/VSx3jMWtXuI/AAAAAAAHRCY/NQmU7jS3Je4/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
Na Bashir YakubMara nyingi tunapoongelea umiliki wa ardhi watu wengi hukimbilia kufikiri kumiliki ardhi labda Pugu, Bunju, Tegeta, Kimara na hata huko mikoani. Wengi hudhani kumiliki ardhi lazima iwe nyumba hizi nyumba za kawaida tulizozoea au kiwanja kama viwanja tulivyozoea au shamba kama shamba. Sikatai kuwa hizi sio ardhi hapana hizi ni ardhi ila ni vema sana kuelewa kuwa ulimwengu umekua sana na kila kitu kimepanuka ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili03 Dec
Je wajua unaweza pata mkaa kutokana na kinyesi ?
9 years ago
Dewji Blog06 Oct
Tutumie lifti za majengo makubwa na marefu kistaarabu kuepuka ajali zisizo za lazima!
Moja ya batani za lifti
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[TANZANIA] Jiji la Dar es Salaam ni miongoni mwa majiji makubwa katika bara la Afrika huku likiwa ni miongoni mwa majiji yanayoendelea kukuwa kwa kasi hasa katika nyanja za kiuchumi, biashara na ukuaji wa watu kila kukicha huku majengo makubwa na marefu ya makazi na kibiashara nayo yakishamili kila kukicha.
Tunaamini kuwa ukuaji wa majengo marefu na makubwa tukizoea kuyaita magorofa kama yanavyofahaamikaa katika majengo haya yamekuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-gtauucLz9Ks/VKJWWj29IdI/AAAAAAAG6jk/0hkbgehM7NA/s72-c/images.jpg)
UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
![](http://3.bp.blogspot.com/-gtauucLz9Ks/VKJWWj29IdI/AAAAAAAG6jk/0hkbgehM7NA/s1600/images.jpg)
Na Bashir YakubKatika adhima ya ya mwendelezo wa makala za namna ya kuendesha kampuni leo tena tuangalie kuhusu hisa na hasa namna ya kuhamisha hisa.
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi29 Dec
MAKALA SHERIA: UNATAKA AU UMEFUNGUA KAMPUNI, JE WAJUA NAMNA YA KUNUNUA, KUUZA HISA
HISA NININI.Kwa maana ambayo inaweza kueleweka kwa wepesi zaidi ni kusema kuwa hisa ni aina ya maslahi ya mtu ya katika kampuni.Natumia neno aina kwakuwa maslahi katika kampuni ni mengi si hisa tu isipokuwa hisa ni mojawapo ya maslahi. Hivyo kile ambacho mtu anamiliki katika kampuni ndio hisa zake. Hisa hutofautiana kutokana na uwezo wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-AMlnyDtXb_s/VZmGQddu5II/AAAAAAAHnLo/Uv488u-7FeQ/s72-c/download.jpg)
MAKALA YA SHERIA: JE WAJUA MUDA WA HATI YA NYUMBA UKIISHA WAWEZA KUNYANGANYWA ARDHI?
![](http://3.bp.blogspot.com/-AMlnyDtXb_s/VZmGQddu5II/AAAAAAAHnLo/Uv488u-7FeQ/s1600/download.jpg)
Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana. Kama ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano leseni za kuendeshea vipando...
10 years ago
Mwananchi25 Dec
Jinsi ya kununua ardhi kisheria
10 years ago
Mwananchi16 Oct
Unataka kununua ardhi? Zingatia haya
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Je,wajua Balotelli hunyolewa kila siku?
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s72-c/download%2B(1).jpg)
MAKALA YA SHERIA: NJIA YA KISHERIA YA KUKUEPUSHA KUNUNUA ARDHI YENYE MGOGORO.
![](http://3.bp.blogspot.com/-RUgLk69J7eM/VNURpVFQ7RI/AAAAAAAHCRc/dIoatbIjG64/s1600/download%2B(1).jpg)