Je wajua unaweza pata mkaa kutokana na kinyesi ?
Kundi moja la vijana nchini Ghana limechukua jukumu la kupunguza madhara ya uchafuzi wa maji ya bahari kwa kutengeneza mkaa kutokana na maji taka.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ohuzHtbauL0/VSx3jMWtXuI/AAAAAAAHRCY/NQmU7jS3Je4/s72-c/unnamed%2B(42).jpg)
JE WAJUA UNAWEZA KUNUNUA ARDHI KATIKA MAJENGO MAREFU YANAYOJENGWA SIKU HIZI ?
![](http://3.bp.blogspot.com/-ohuzHtbauL0/VSx3jMWtXuI/AAAAAAAHRCY/NQmU7jS3Je4/s1600/unnamed%2B(42).jpg)
10 years ago
Habarileo18 Dec
RC apiga ‘stop’ biashara ya mkaa
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, amewapa mwezi mmoja wakuu wa wilaya sita za mkoa, wahakikishe wanakomesha kuzagaa kwa biashara ya mkaa katika maeneo yao.
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Mkaa endelevu kuokoa mazingira
Dar es Salaam. Serikali ya Finland kwa kushirikiana na Wizara ya Maliasili na Utalii, wameanzisha mradi wa mkaa endelevu utakaozalishwa kwa njia za kisasa wenye lengo la kupunguza uharibifu wa mazingira na kuongeza ajira.
11 years ago
Mwananchi22 Jul
RC ashangaa mkaa kuingiza mapato
Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa ameishangaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kuweka ushuru wa mkaa kama eneo la ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutaka biashara hiyo ikome kwa sababu madhara yake ni makubwa katika uharibifu wa mazingira.
11 years ago
Mwananchi26 Jun
Wengi wanaathiriwa na vumbi la mkaa
“Kwa miaka minne mfululizo maelfu ya tani za mkaa wa mawe yamekuwa yanasombwa na maji kutoka katika Kijiji cha Ndumbi hadi ndani ya Ziwa Nyasa, wananchi wanatumia maji hayo kwa ajili ya kunywa,’’ anasema Mwenyekiti wa kijiji hicho wilayani Nyasa mkoani Ruvuma, James Mbawala.
10 years ago
BBCSwahili17 Oct
Al-Shabaab waendeleza biashara ya mkaa
Ripoti mpya ya Umoja wa Mataifa imekishutumu kikundi cha Somalia cha Al Shabaab kwa kuendelea na biahara ya mkaa.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s72-c/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
MKAA MBADALA NI UKOMBOZI WA MAZINGIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-HvW0Yg2yvKI/XsZzf8V2iWI/AAAAAAALrHU/_0oVnWC_Y-8iVF6XSWEgIq-OdUBc9rC0wCLcBGAsYHQ/s400/Akionesha%2Bmashinine%2Binavyofanya%2Bkazi%2B%25281%2529.jpg)
Na, COSTECHTAARIFA ya Wizara ya Kilimo ya mwaka 2019 inaonesha kuwa, kwa miaka mitano iliyopita kuanzia msimu wa mwaka 2013/2014 hadi 2017/18, Tanzania imezalisha chakula kingi kuliko mahitaji yake.
Tathmini ililenga hali ya chakula, uzalishaji wa mazao ya chakula na usalama wa chakula hususani mazao muhimu yanayozingatiwa kama...
11 years ago
BBCSwahili24 Apr
Mkaa kutoka kwa takataka Burundi
Mradi mpya wa kutumia takataka kutengeneza mkaa umesifiwa kwa kusaidia kuhifadhi mazingira nchini Burundi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania