Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC ashangaa mkaa kuingiza mapato

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa ameishangaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kuweka ushuru wa mkaa kama eneo la ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutaka biashara hiyo ikome kwa sababu madhara yake ni makubwa katika uharibifu wa mazingira.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lema ashangaa Serikali kujikosesha mapato

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amedai uwezo wa Serikali kufikiri umefikia kikomo kutokana na kuweka alama za hatari maeneo ambayo yanaweza kutumika kuliingizia taifa fedha, huku ikiyaacha bila kuyaendeleza.

 

10 years ago

Habarileo

Bandari kuingiza mapato Sh trilioni 1 kwa mwaka

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande akijibu baadhi ya hoja zilizokuwa zikiibuliwa na wabunge wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo.MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema bandari hiyo ina uwezo wa kuingiza kipato kinachofikia Sh trilioni moja kwa mwaka, kama baadhi ya vikwazo vitashughulikiwa.

 

9 years ago

Dewji Blog

Serikali za Mitaa zaongeza mapato kupitia mfumo wa ukusanyaji Mapato kwa njia ya Kielektroniki

01

Mkuu wa kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Waziri Mkuu- TAMISEMI Bi. Rebecca Kwandu akifurahia jambo na waandishi wa habari (hawapo pichani)leo jijini Dar es Salaam wakati akiwaeleza mafanikio ya mfumo wa ukusanyaji mapato kwa njia ya kielektroniki katika mamlaka za Serikali za Mitaa (LGRCIS). Kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya TEHAMA wa ofisi hiyo Bw. Mtani Yangwe na kulia ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.

02

 Mkurugenzi Msaidizi Mifumo ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Wema ashangaa mashabiki

Mwigizaji Wema Sepetu, amewashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo kwa kumaliza tofauti baina yao akisema kuwa hawatendi haki na wanaingilia uhuru wa wasanii hao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lowassa ashangaa agizo la JK kupuuzwa

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ameelezea kusikitishwa kwake na kasi ndogo ya viongozi wa serikali mkoani Arusha katika kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete kutaka kuwepo...

 

10 years ago

Mtanzania

Tuzo za TAFA zatolewa, Ray ashangaa

FARAJA MASINDE
LICHA ya Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) kufanikiwa kutoa tuzo za kwanza za TAFA, mwigizaji maarufu, Vicent Kigosi ‘Ray’, ameonyesha kutoridhishwa na uandaaji wa tuzo hizo.
Tuzo hizo zilitolewa juzi usiku katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, huku Ray akikosekana katika kipengele hata kimoja kati ya vilivyoshindanishwa.
Ray aliingia ukumbini hapo akiongozana na msichana wakiwa wamechelewa, ingawa walikuwa makini kufuatilia utoaji...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ben Pol ashangaa Jikubali kutopenya KTMA

MKALI wa muziki wa RnB nchini, Bernad Paul ‘Ben Pol’, amesema ameshangaa kuona kazi yake ya ‘Jikubali’ ikishindwa kuingia katika tuzo za Kilimanjaro Music (KTMA), kutokana na kwamba imefanya vizuri...

 

10 years ago

GPL

MTITU ASHANGAA NISHA, JB KUKUBALI FILAMU ZA BUKU

Muongozaji, msanii na mmiliki wa Kampuni ya Filamu ya Five Effects, William Mtitu. Muongozaji, msanii na mmiliki wa Kampuni ya Filamu ya Five Effects, William Mtitu amewavaa wasanii wenzake wakiwemo Salma Jabu ‘Nisha’, Jacob Steven ‘JB’ na wengineo akidai wanatumiwa kuiua tasnia ya filamu Bongo kwa kukubali CD zao kuuzwa buku. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Mtitu alisema Kampuni ya Steps imeamua...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ashangaa viongozi wanaoua, kutesa raia

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa katika enzi za sasa za Utawala Bora bado baadhi ya Serikali na viongozi wa Afrika wanaua na kutesa raia wao kwa kisingizio kuwa Utawala Bora siyo mfumo wa Kiafrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani