Kikwete ashangaa viongozi wanaoua, kutesa raia
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa katika enzi za sasa za Utawala Bora bado baadhi ya Serikali na viongozi wa Afrika wanaua na kutesa raia wao kwa kisingizio kuwa Utawala Bora siyo mfumo wa Kiafrika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Uhamiaji wadaiwa kupiga,kutesa raia
11 years ago
Habarileo08 Aug
Uhamiaji Kigoma wahofu kupatikana viongozi wasio raia
IDARA ya Uhamiaji mkoani Kigoma imeeleza wasiwasi wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na madai ya kuwepo viongozi wanaohifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri.
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s72-c/w1.jpg)
RAIS KIKWETE AJIUNGA NA VIONGOZI WENGINE WA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA VIONGOZI WA AFRIKA NA MAREKANI JIJINI WASHINGTON DC LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-RbYsQKeTGC8/U-JSpLYST_I/AAAAAAACm6Y/kpwDAWUm-S0/s1600/w1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/--99HsdIinyU/U-JSpsBc8zI/AAAAAAACm6c/WRZHxk6HhCQ/s1600/w2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DzOJdcH2t3Q/U-JSzBmSTzI/AAAAAAACm64/qIQOvCLbufI/s1600/w4.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YPY62IRGZGM/U-JSwO_f7GI/AAAAAAACm6w/Zq2FHZgvBbQ/s1600/w5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-jUW7OXuce9k/U-JS1Ohnr9I/AAAAAAACm7A/KnShrBQRpyA/s1600/w6.jpg)
9 years ago
Habarileo16 Sep
Wanaoua ushirika kukiona -Samia
MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema ilani ya chama hicho ya awamu ya tano, itawaondoa watendaji wote wanaotumia vyama vya ushirika kwa manufaa yao badala ya wakulima.
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Wanaoua albino wamuhofie Mungu — IPTL
![Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_10591.jpg)
Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_1068.jpg)
Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji...
10 years ago
Habarileo22 Feb
Askofu: Wanaoua albino kuikosa mbingu
WATU wanaojihusisha na mauaji ya albino kwa lengo la kusaka vyeo au utajiri, wameonywa waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa Mungu anawaona na kuchukizwa na vitendo vyao.
10 years ago
Vijimambo15 Mar
Wanaoua albino wamuhofie Mungu - IPTL
![Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_10591.jpg)
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_1068.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Wanaoua vikongwe, wahalifu Geita waombwa kumrudia Mungu
WANAOJICHUKULIA sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu na vikongwe kwa imani za kishirikina mkoani hapa, wametakiwa kuacha tabia hiyo kwa sababu wanaenda kinyume na neno la Mungu. Kauli hiyo imetolewa jana...