Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhamiaji wadaiwa kupiga,kutesa raia

>Idara ya Uhamiaji nchini inatuhumiwa kuwatesa watu 41 wa familia moja akiwamo mzee mwenye umri wa miaka 88 ambao ni wakazi wa Kyerwa mkoani Kagera, kwa kuwafungia kwa siku nne katika daraja linaloziunganisha Tanzania na Uganda kwa madai kwamba si raia.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wadaiwa kutesa watu Nigeria

Polisi nchini Nigeria wanadaiwa kuwatesa wanaume na wanawake pamoja na watoto kwa mujibu wa shirika la Amnesty International

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

10 years ago

Habarileo

Kikwete ashangaa viongozi wanaoua, kutesa raia

RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa katika enzi za sasa za Utawala Bora bado baadhi ya Serikali na viongozi wa Afrika wanaua na kutesa raia wao kwa kisingizio kuwa Utawala Bora siyo mfumo wa Kiafrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wadaiwa kuua raia

ASKARI sita wa Kituo Kikuu cha Polisi Lushoto, mkoani Tanga, wanatuhumiwa kumuua kwa risasi mkazi wa Kijiji cha Viti, Hamis Seif (25) na kumjeruhi mmoja, huku wakidai raia hao walikuwa...

 

9 years ago

Habarileo

47 wadaiwa kuachika kwa kupiga kura Zanzibar

CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake (TAMWA) - Zanzibar, kimeelezea kusikitishwa na tabia ya wanaume kuwazuia wanawake kupiga kura katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 25, huku wengine wakilazimika kuchukua hatua ya kuwapa talaka wake zao waliong’ang’ania kufanya hivyo.

 

11 years ago

Habarileo

Uhamiaji Kigoma wahofu kupatikana viongozi wasio raia

IDARA ya Uhamiaji mkoani Kigoma imeeleza wasiwasi wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na madai ya kuwepo viongozi wanaohifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wadaiwa kuua, kujeruhi raia

Polisi wilayani Kaliua, inadaiwa kumuua mtu mmoja na kumjeruhi mwingine baada ya wananchi zaidi ya 200 kuvamia kituo kidogo cha polisi kwa lengo la kumtoa mtuhumiwa ili wajichukulie sheria mkononi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Askari Sudan wadaiwa kuua na kubaka raia

Kikosi kimoja maalum cha serikali nchini Sudan kimeshutumiwa kwa kutekeleza maujai ya halaiki na ubakaji wa raia katika eneo la Darfur.

 

10 years ago

Mwananchi

Raia wa kigeni wadaiwa kuchaguliwa kuwa wenyeviti wa vijiji

Dodoma.Wabunge wanaotoka mikoa ya mipakani wamelalamikia kuhusiana na watu wasio rai kupiga kura na kuchaguliwa katika chaguzi kinyume cha sheria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani