Uhamiaji Kigoma wahofu kupatikana viongozi wasio raia
IDARA ya Uhamiaji mkoani Kigoma imeeleza wasiwasi wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na madai ya kuwepo viongozi wanaohifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima29 Aug
Kigoma wahofu homa ya ebola
HOFU ya kuenea kwa kasi ugonjwa hatari wa ebola imeendelea hasa mkoani Kigoma ambao uko mpakani baada ya taarifa kuwa umeishaingia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambayo inapakana. Akizungumza...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jul
Uhamiaji kushughulikia watumishi wasio na maadili
IDARA ya Uhamiaji, imesema itaendelea kuhamisha na kufukuza watumishi wasio waaminifu ili kuijengea heshima idara hiyo. Ofisa Uhusiano wa Uhamiaji, Tatu Burhan, alisema hayo jana alipozungumza na Tanzania Daima katika...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s72-c/unnamed%2B(5).jpg)
BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni
![](http://1.bp.blogspot.com/--EsEBeArhDU/U_dhp9zoyfI/AAAAAAAGBc4/Hn4C9mANAOY/s1600/unnamed%2B(5).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dHnPbYwDnEg/U_dhvcv-mxI/AAAAAAAGBdA/61pMNRyp4uo/s1600/scan0001.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-dXE026mtggo/U_djUzEFIqI/AAAAAAAGBdU/I8j6UL4Z5JU/s1600/scan00002.jpg)
9 years ago
Dewji Blog25 Dec
Jeshi la Polisi Kigoma lawakamata wahamiaji wasio rasmi 75
Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tukio la kukamatwa kwa wahamiaji haramu. (Picha na Emmanuel Senny).
Na Emmanuel Senny, Kigoma
Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia wahamiaji haramu 75 wakijihusisha na shughuli za kilimo mara baada ya kufanya msako katika Wilaya za Kasulu, Uvinza na Kigoma mjini.
Akizungumza na waandishi wa habari hapo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, SACP Ferdinand Mtui, alisema...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Uhamiaji Kigoma yahadharisha
IDARA ya Uhamiaji mkoa wa Kigoma imeelezwa wasiwasi wake wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na kuwepo madai ya viongozi wanaowahifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri....
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Kh4IBf9Ak0c/VJfrt9saoEI/AAAAAAAG4_c/MNfVQWj5YQo/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF
11 years ago
Mwananchi29 Jan
Uhamiaji wadaiwa kupiga,kutesa raia
11 years ago
Mwananchi10 Jul
‘Viongozi wasio na maadili hawatufai’
11 years ago
Habarileo09 Aug
'Viongozi wasio waaminifu wameua ushirika'
MAKAMU wa Rais, Dk Gharib Bilal amesema ushirika unakosa mvuto kwa jamii kutokana na baadhi ya viongozi wanaochaguliwa kutokuwa waaminifu na hata kujihusisha na ubadhirifu.