Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uhamiaji Kigoma wahofu kupatikana viongozi wasio raia

IDARA ya Uhamiaji mkoani Kigoma imeeleza wasiwasi wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na madai ya kuwepo viongozi wanaohifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kigoma wahofu homa ya ebola

HOFU ya kuenea kwa kasi ugonjwa hatari wa ebola imeendelea hasa mkoani Kigoma ambao uko mpakani baada ya taarifa kuwa umeishaingia Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), ambayo inapakana. Akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhamiaji kushughulikia watumishi wasio na maadili

IDARA ya Uhamiaji, imesema itaendelea kuhamisha na kufukuza watumishi wasio waaminifu ili kuijengea heshima idara hiyo. Ofisa Uhusiano wa Uhamiaji, Tatu Burhan, alisema hayo jana alipozungumza na Tanzania Daima katika...

 

10 years ago

Michuzi

BREAKING NEWZZZZZ: idara ya uhamiaji yaendelea kucharuka, yamzuia raia wa netherlands kuingia nchini kwa kujihusisha na kusafrisha kimazabe raia wa kigeni

 Bw. Shirwan Naseh, raia wa Netherlands  mwenye asili ya Iraq aliyezuiliwa kuingia nchini na kupigwa pigwa PI na Idara ya Uhamiaji



 

9 years ago

Dewji Blog

Jeshi la Polisi Kigoma lawakamata wahamiaji wasio rasmi 75

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tukio la kukamatwa kwa wahamiaji haramu. (Picha na Emmanuel Senny)

Kamanda wa Polisi mkoani Kigoma SACP Ferdinand Mtui, akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusu tukio la kukamatwa kwa wahamiaji haramu. (Picha na Emmanuel Senny).

Na Emmanuel Senny, Kigoma

Jeshi la Polisi mkoani Kigoma linawashikilia wahamiaji haramu 75 wakijihusisha na shughuli za kilimo mara baada ya kufanya msako katika Wilaya za Kasulu, Uvinza na Kigoma mjini.

Akizungumza na waandishi wa habari hapo jana, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, SACP Ferdinand Mtui, alisema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uhamiaji Kigoma yahadharisha

IDARA ya Uhamiaji mkoa wa Kigoma imeelezwa wasiwasi wake wa nchi kuingia kwenye mtego wa kuchagua viongozi wasio raia kutokana na kuwepo madai ya viongozi wanaowahifadhi wahamiaji haramu na kuwaajiri....

 

10 years ago

Michuzi

MKUU WA WILAYA YA KIGOMA AKANUSHA VIONGOZI WA HALMASHAURI YA KIGOMA KULA PESA YA TASAF

Na Editha Karlo wa Globu ya Jamii, Kigoma  MKUU Wa Wilaya ya Kigoma Mhe  Ramadhani Maneno amewataka wananchi wa Wilaya ya Kigoma kuacha kuwashutumu viongozi wa wilaya na Halmashauri kuwa wamekula pesa za TASAF shilingi milioni 183,539 zilizotolewa na serekali kwaajili ya kusaidia kaya maskini Wilayani humo. Mhe  Maneno amewaambia wanahabari ofisini kwake leo kuwa pesa iliyotolewa na TASAF kwa ajili ya kusaidia kaya maskini na zinazoishi katika mazingira magumu katika Wilaya ya Kigoma ...

 

11 years ago

Mwananchi

Uhamiaji wadaiwa kupiga,kutesa raia

>Idara ya Uhamiaji nchini inatuhumiwa kuwatesa watu 41 wa familia moja akiwamo mzee mwenye umri wa miaka 88 ambao ni wakazi wa Kyerwa mkoani Kagera, kwa kuwafungia kwa siku nne katika daraja linaloziunganisha Tanzania na Uganda kwa madai kwamba si raia.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Viongozi wasio na maadili hawatufai’

Wakati baadhi ya wanasiasa wameanza kutangaza nia za kugombea urais kwenye uchaguzi mkuu mwakani, wananchi wametakiwa kutambua kuwa mtu asiye na maadili hafai kuwa kiongozi.

 

11 years ago

Habarileo

'Viongozi wasio waaminifu wameua ushirika'

MAKAMU wa Rais, Dk Gharib Bilal amesema ushirika unakosa mvuto kwa jamii kutokana na baadhi ya viongozi wanaochaguliwa kutokuwa waaminifu na hata kujihusisha na ubadhirifu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani