Wanaoua ushirika kukiona -Samia
MGOMBEA Mwenza wa Urais kupitia CCM, Samia Suluhu Hassan, amesema ilani ya chama hicho ya awamu ya tano, itawaondoa watendaji wote wanaotumia vyama vya ushirika kwa manufaa yao badala ya wakulima.
habarileo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA-8-2-768x458.jpg)
MRAJIS AWATAKA MAAFISA USHIRIKA KUIMARISHA USIMAMIZI WA VYAMA VYA USHIRIKA
![](https://1.bp.blogspot.com/-wLvlG0P4Zf8/XuG7j46sAlI/AAAAAAAEHlg/Pm3R3n-AeLAWBZva6ZIPX7gwBnej6MovQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA-8-2-768x458.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege (wa sita kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya maafisa ushirika na wajumbe wa bodi ya Chama kikuu cha Ushirika mkoa wa Simiyu(SIMCU) mara baada ya kuhitimisha kikao na wajumbe hao wakati wa ziara yake ya siku moja mkoani humo Juni 09, 2020.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/PICHA-1-4.jpg)
Mrajis wa Vyama vya Ushirika Tanzania Bara, Dkt. Benson Ndiege(kushoto) akizungumza na Maafisa Ushirika wa Mkoa wa Simiyu wakati wa ziara yake mkoani humo Juni 09, 2020
10 years ago
Dewji Blog15 Mar
Wanaoua albino wamuhofie Mungu — IPTL
![Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_10591.jpg)
Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_1068.jpg)
Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji...
10 years ago
Habarileo22 Feb
Askofu: Wanaoua albino kuikosa mbingu
WATU wanaojihusisha na mauaji ya albino kwa lengo la kusaka vyeo au utajiri, wameonywa waache tabia hiyo mara moja kwa kuwa Mungu anawaona na kuchukizwa na vitendo vyao.
10 years ago
Vijimambo15 Mar
Wanaoua albino wamuhofie Mungu - IPTL
![Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege (kushoto) akimkabidhi balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 fedha waliyoitoa kusaidia harakati za imetosha jana jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_10591.jpg)
![Balozi wa kujitolea wa Imetosha Foundation, Henry Mdimu (kulia) akizungumza na wanahabari kwenye hafla fupi ya kukabidhiwa shilingi milioni 10 zilizotolewa na Makampuni ya IPTL na PAP kusaidia kampeni maalumu kupinga mauaji ya watu wenye albino. Kushoto ni Katibu na Mshauri Mkuu wa Sheria wa Makampuni ya IPTL na PAP, Bw. Joseph Makandege.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/03/IMG_1068.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Oct
Kikwete ashangaa viongozi wanaoua, kutesa raia
RAIS Jakaya Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa katika enzi za sasa za Utawala Bora bado baadhi ya Serikali na viongozi wa Afrika wanaua na kutesa raia wao kwa kisingizio kuwa Utawala Bora siyo mfumo wa Kiafrika.
10 years ago
Habarileo24 Feb
UVCCM yataka wanaoua albino wasakwe kila kona
BARAZA Kuu la Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) mkoa wa Lindi limeitaka Serikali kuendelea kuchukua hatua kali kwa watakaobainika kuhusika na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) nchini.
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Wanaoua vikongwe, wahalifu Geita waombwa kumrudia Mungu
WANAOJICHUKULIA sheria mkononi kwa kuwaua wahalifu na vikongwe kwa imani za kishirikina mkoani hapa, wametakiwa kuacha tabia hiyo kwa sababu wanaenda kinyume na neno la Mungu. Kauli hiyo imetolewa jana...
9 years ago
Habarileo08 Oct
Wanaomchafua Zitto kukiona
CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeliomba Jeshi la Polisi na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), kufuatilia na kumchukulia hatua mtu aliyesambaza ujumbe katika mitandao ya kijamii, kuuchafua uislamu na kiongozi mkuu wa chama hicho, Kabwe Zitto.
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10