Lowassa ashangaa agizo la JK kupuuzwa
WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ameelezea kusikitishwa kwake na kasi ndogo ya viongozi wa serikali mkoani Arusha katika kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete kutaka kuwepo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog21 Feb
Kusaga: Habari za kuuzwa Clouds Media Group ni uzushi wa kupuuzwa
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga.
Na Mwandishi Wetu, Dar
TAHARUKI iliyosambaa jana kwenye mitandao kijamii juu ya kuuzwa kwa Clouds Media Group, inayomiliki Clouds FM, Clouds Tv na Choice FM, zimepata majibu baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Joseph Kusaga, kuibuka na kukataa habari hizo na kuziita ni uzushi wa kupuuzwa.
Habari za kuuzwa kwa kampuni hiyo dhidi ya mfanyabiashara maarufu na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rostam Aziz, zilishika...
11 years ago
Mwananchi09 Feb
Wema ashangaa mashabiki
11 years ago
Mwananchi22 Jul
RC ashangaa mkaa kuingiza mapato
10 years ago
Mtanzania25 May
Tuzo za TAFA zatolewa, Ray ashangaa
FARAJA MASINDE
LICHA ya Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) kufanikiwa kutoa tuzo za kwanza za TAFA, mwigizaji maarufu, Vicent Kigosi ‘Ray’, ameonyesha kutoridhishwa na uandaaji wa tuzo hizo.
Tuzo hizo zilitolewa juzi usiku katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, huku Ray akikosekana katika kipengele hata kimoja kati ya vilivyoshindanishwa.
Ray aliingia ukumbini hapo akiongozana na msichana wakiwa wamechelewa, ingawa walikuwa makini kufuatilia utoaji...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Lema ashangaa Serikali kujikosesha mapato
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
Ben Pol ashangaa Jikubali kutopenya KTMA
MKALI wa muziki wa RnB nchini, Bernad Paul ‘Ben Pol’, amesema ameshangaa kuona kazi yake ya ‘Jikubali’ ikishindwa kuingia katika tuzo za Kilimanjaro Music (KTMA), kutokana na kwamba imefanya vizuri...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Kocha KCC ashangaa kubeba ubingwa Zenji
KOCHA Mkuu wa timu ya KCC ya Uganda, George Nsimwa, juzi alitoa kali kwa kusema anashangazwa na timu yake kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, mjini...
11 years ago
GPL
JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!