Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa ashangaa agizo la JK kupuuzwa

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu na Mbunge wa Monduli, Edward Lowassa, ameelezea kusikitishwa kwake na kasi ndogo ya viongozi wa serikali mkoani Arusha katika kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete kutaka kuwepo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Kusaga: Habari za kuuzwa Clouds Media Group ni uzushi wa kupuuzwa

Joseph-Kusaga

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga.

Na Mwandishi Wetu, Dar

TAHARUKI iliyosambaa jana kwenye mitandao kijamii juu ya kuuzwa kwa Clouds Media Group, inayomiliki Clouds FM, Clouds Tv na Choice FM, zimepata majibu baada ya Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo, Joseph Kusaga, kuibuka na kukataa habari hizo na kuziita ni uzushi wa kupuuzwa.

Habari za kuuzwa kwa kampuni hiyo dhidi ya mfanyabiashara maarufu na kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Rostam Aziz, zilishika...

 

11 years ago

Mwananchi

Wema ashangaa mashabiki

Mwigizaji Wema Sepetu, amewashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo kwa kumaliza tofauti baina yao akisema kuwa hawatendi haki na wanaingilia uhuru wa wasanii hao.

 

11 years ago

Mwananchi

RC ashangaa mkaa kuingiza mapato

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Chiku Gallawa ameishangaa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga kuweka ushuru wa mkaa kama eneo la ukusanyaji wa mapato ya ndani na kutaka biashara hiyo ikome kwa sababu madhara yake ni makubwa katika uharibifu wa mazingira.

 

10 years ago

Mtanzania

Tuzo za TAFA zatolewa, Ray ashangaa

FARAJA MASINDE
LICHA ya Shirikisho la Filamu nchini (TAFF) kufanikiwa kutoa tuzo za kwanza za TAFA, mwigizaji maarufu, Vicent Kigosi ‘Ray’, ameonyesha kutoridhishwa na uandaaji wa tuzo hizo.
Tuzo hizo zilitolewa juzi usiku katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam, huku Ray akikosekana katika kipengele hata kimoja kati ya vilivyoshindanishwa.
Ray aliingia ukumbini hapo akiongozana na msichana wakiwa wamechelewa, ingawa walikuwa makini kufuatilia utoaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Lema ashangaa Serikali kujikosesha mapato

Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amedai uwezo wa Serikali kufikiri umefikia kikomo kutokana na kuweka alama za hatari maeneo ambayo yanaweza kutumika kuliingizia taifa fedha, huku ikiyaacha bila kuyaendeleza.

 

11 years ago

Mwananchi

Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF

Wakala anayetambulika na Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Ali Saleh amesema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeteleza kumsimamisha mshambuliaji Emmanuel Okwi kuichezea Yanga katika mechi za Ligi Kuu na zile za kimataifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ben Pol ashangaa Jikubali kutopenya KTMA

MKALI wa muziki wa RnB nchini, Bernad Paul ‘Ben Pol’, amesema ameshangaa kuona kazi yake ya ‘Jikubali’ ikishindwa kuingia katika tuzo za Kilimanjaro Music (KTMA), kutokana na kwamba imefanya vizuri...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kocha KCC ashangaa kubeba ubingwa Zenji

KOCHA Mkuu wa timu ya KCC ya Uganda, George Nsimwa, juzi alitoa kali kwa kusema anashangazwa na timu yake kubeba ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan, mjini...

 

11 years ago

GPL

JACK CHUZ ASHANGAA KUKOMALIWA AMZALIE MUME!

Stori: Mrisho Mapeyo
Msanii wa filamu za Kibongo, Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ amewapa makavu laivu baadhi ya watu wanaoshangaa na kuhoji inakuwaje anatimiza mwaka mmoja ndani ya ndoa bila kuzaa. Jacqueline Pentzel ‘Jack Chuz’ akiwa na mumewe siku ya ndoa yao. Akizungumzia maneno ambayo amekuwa akiyasikia kutoka hata kwa watu wake wa karibu wakiwemo wasanii wenzake, Jack alisema anawashangaa kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani