Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF

Wakala anayetambulika na Shirikisho la Soka Kimataifa (Fifa), Ali Saleh amesema Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limeteleza kumsimamisha mshambuliaji Emmanuel Okwi kuichezea Yanga katika mechi za Ligi Kuu na zile za kimataifa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uamuzi, adhabu TFF yajichanganya

Wakati Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) ikimfungia kucheza mechi tatu, mshambuliaji Haruna Chanongo na kumpiga faini ya Sh500,000, baadhi ya makocha na wachezaji wamepelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kukiuka kanuni za ligi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa

Mkuu wa shirikisho la soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa uamuzi wa kuzuia kuwania uchaguzi wa urais Fifa.

 

11 years ago

Mwananchi

Machali alaani uamuzi wa kamati

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Moses Machali amesema kitendo cha Kamati Maalumu la kumshauri Mwenyekiti wa Muda wa Bunge hilo kupendekeza kuwa chombo hicho ndicho kitakachoamua utaratibu wa upigaji wa kura na kupitisha uamuzi, kinapaswa kulaaniwa.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU ILIPOTEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Profesa Juma Athumani Kapuya akizungumza na watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa nyumba za Serikali, wakati walipotembelea ofisi za Wakala jana jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli.

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akieleza jambo kwa Kamati ya Bunge ya Miundombinu (hawapo pichani) kuhusuiana na mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa miradi...

 

10 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)

Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Profesa Juma Athumani Kapuya akizungumza na watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa nyumba za Serikali, wakati walipotembelea ofisi za Wakala jana jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli.Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akieleza jambo kwa Kamati ya Bunge ya Miundombinu (hawapo pichani) kuhusuiana na mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa miradi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO (WMA)

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Vipimo Dkt. Ludovick Manege (aliyenyoosha mkono)  akiwaongoza wabunge wa kamati ya kudumu ya bunge Viwanda, Biashara na Mazingira waliofika kutembelea katika kituo cha Misugusugu Kibaha - Pwani kujionea shughuli zinazofanywa ikiwemo kujifunza mambo mbali mbali.
Mjumbe wa kamati ya bunge viwanda, biashara na mazingira akiuliza swali mara baada ya  mara baada ya katika kituo Wakala wa Vipimo kilichopo Misugusugu kilichoko mkoani Kibaha - Pwani. Mwenyekiti wa...

 

10 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Lowassa walia na uamuzi wa Kamati Kuu

Aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward LowassaWAFUASI wa aliyekuwa akiwania uteuzi wa CCM kuwa mgombea urais, Edward Lowassa, ambaye hakupata nafasi ya kuwa miongoni mwa wagombea bora watano, wamepaza sauti zao wakionesha kutoridhishwa kwa jina la mgombea huyo kuchujwa katika vikao vya uamuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Uamuzi mgumu CCM katika Kamati Kuu leo

>Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya CCM inakutana leo mchana mjini Dodoma chini ya mwenyekiti wake, Rais Jakaya Kikwete huku ikitarajiwa kufanya uamuzi mgumu wa mchakato wa Katiba.

 

10 years ago

Vijimambo

NCHIMBI, SOPHIA SIMBA NA KIMBISA WASEMA HAWAKUBALIANI NA UAMUZI WA KAMATI KUU(CC)

Mhe. Emmanuel Nchimbi akitangaza mbele ya wanahabari kwa kutoridhishwa na maamuzi yao kamati kuu(CC). (Picha na Kajunason Blog)
KAMATI Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa (CC-NEC) imetoa orodha ya wagombea watano bila ya jina la Edward Lowassa kuwemo ndani. Lakini katika hali inayoonesha mpasuko, baadhi ya wajumbe wa kamati kuu wamepinga uamuzi huo.Majina yaliyopatikana, ambayo hata hivyo hayajatangazwa rasmi na chama, ni ya Bernard Membe, Dk. John Magufuli, Dk. Asha Rose-Migiro, January Makamba...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani