KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU ILIPOTEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Profesa Juma Athumani Kapuya akizungumza na watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa nyumba za Serikali, wakati walipotembelea ofisi za Wakala jana jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TaBCQOCNCCE/VQF8Hu8r56I/AAAAAAAHJ2g/h6pO_01Mezs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaBCQOCNCCE/VQF8Hu8r56I/AAAAAAAHJ2g/h6pO_01Mezs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SipPyGwML3g/VQF8HYrWD-I/AAAAAAAHJ2U/5wz1M7yVECU/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s72-c/IMG_0150.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL) NA OFISI ZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s1600/IMG_0150.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gTOybU_8IKg/Uuvh8M2TXuI/AAAAAAAFJ_A/s8CPhZkYNU4/s1600/IMG_0164.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdSExD2wGJI/Uuvh9I_3XZI/AAAAAAAFJ_M/a5VS5pahAXk/s1600/IMG_0190.jpg)
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YAKAGUA MAJENGO YA MAHAKAMA
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA KUDUMU YA VIWANDA, BIASHARA NA MAZINGIRA YAIPONGEZA WAKALA WA VIPIMO (WMA)
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-gtLtaMzNl9s/VM_mgEz1iZI/AAAAAAACzOY/9KEkHZsBHZY/s72-c/pombe-may14-2013.jpg)
TBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
![](http://3.bp.blogspot.com/-gtLtaMzNl9s/VM_mgEz1iZI/AAAAAAACzOY/9KEkHZsBHZY/s640/pombe-may14-2013.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-VQnTK6-sfUQ/VPmT10ZNUOI/AAAAAAAHIAk/_KWMU8eAz90/s72-c/magufuli(9).jpg)
TBA wapewa wiki mbili kukarabati majengo mawili
![](http://3.bp.blogspot.com/-VQnTK6-sfUQ/VPmT10ZNUOI/AAAAAAAHIAk/_KWMU8eAz90/s1600/magufuli(9).jpg)
Dkt. Magufuli pia ameagiza aliyekuwa meneja wa TBA Mkoa wa Kilimanjaro, Paul Ndossa kusimamishwa kazi mahali alipo ili arejee kujibu tuhuma na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria.
Waziri huyo alitoa agizo hilo wakati akikagua jengo la mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania