Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi24 Oct
DART ibuni mbinu kulinda miundombinu yake
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
10 years ago
Habarileo01 Nov
Bunge lataka miundombinu DART ilindwe
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi nchini ili kuunda kikosi maalumu cha ulinzi wa miundombinu ya mradi huo ambayo imekuwa ikihujumiwa na baadhi ya watu.
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Kamati ya Bunge yashauri DART ipatiwe sehemu ya kodi ya mafuta
WIZARA ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) imetakiwa kuharakisha mchakato wa kupata sheria itakayosaidia Wakala wa Mradi wa Mbasi Yaendayo Haraka (DART) kupata sehemu ya kodi ya...
10 years ago
Habarileo06 Feb
Kamati ya Bunge yataka walimu wasajiliwe
KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://4.bp.blogspot.com/-3KbBe5hg-10/VP9evUqT1sI/AAAAAAAAB54/p-m4Kp7ltYs/s72-c/Moro%2B(2).jpg)
Kamati ya Bunge yataka mradi umalizike kwa wakati
NA WILLIAM SHECHAMBO, Morogoro
![](http://4.bp.blogspot.com/-3KbBe5hg-10/VP9evUqT1sI/AAAAAAAAB54/p-m4Kp7ltYs/s1600/Moro%2B(2).jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Kamati ya Bunge PAC yabaini SMZ kulinda mafisadi
10 years ago
Habarileo13 Jan
Kamati ya Bunge yataka Ofisa Utumishi Nkasi ashushwe cheo
KAMATI ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeitaka Wizara inayohusika na Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kumuondoa na kumshusha cheo Ofisa Utumishi wa Halmashauri ya Nkasi, Deogratias Mboya.