KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TaBCQOCNCCE/VQF8Hu8r56I/AAAAAAAHJ2g/h6pO_01Mezs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaBCQOCNCCE/VQF8Hu8r56I/AAAAAAAHJ2g/h6pO_01Mezs/s1600/unnamed%2B(51).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-SipPyGwML3g/VQF8HYrWD-I/AAAAAAAHJ2U/5wz1M7yVECU/s1600/unnamed%2B(52).jpg)
10 years ago
VijimamboKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU ILIPOTEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
10 years ago
StarTV15 Jan
Wizara yaagiza ujenzi miundombinu majitaka kupewa kipaumbele
Na Fredy Bakalemwa,
Mbeya.
Wizara ya maji imezitaka mamlaka zote za maji nchini kuweka mipango thabiti ya ujenzi wa miundombinu ya majitaka ili kuhifadhi mazingira.
Naibu Waziri wa Maji Amos Makala ameziagiza bodi ya mamlaka za maji kutoa kipaumbele katika kusimamia mipango ya ujenzi wa miundombinu ya maji taka ili maji machafu yanayozalishwa kutoka majumbani, viwandani na maeneo ya biashara yasiwe chanzo cha magonjwa ya mlipuko.
Mheshimiwa Makala aliyasema hayo katika ziara mkoani Mbeya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-FHtLhClQHnc/VPbIH8C7XmI/AAAAAAAHHgs/juelz-JLVng/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
kamati ya bunge ya serikali za mitaa na tawala za mikoa (Tamisemi) ytembelea miradi ya miundombinu dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-FHtLhClQHnc/VPbIH8C7XmI/AAAAAAAHHgs/juelz-JLVng/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-14jCC-ncUU4/VPbIIUkwibI/AAAAAAAHHgw/wpEY4QSdJB8/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s72-c/IMG_0150.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL) NA OFISI ZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s1600/IMG_0150.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gTOybU_8IKg/Uuvh8M2TXuI/AAAAAAAFJ_A/s8CPhZkYNU4/s1600/IMG_0164.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdSExD2wGJI/Uuvh9I_3XZI/AAAAAAAFJ_M/a5VS5pahAXk/s1600/IMG_0190.jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YAFANYA ZIARA YA KUKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA BARABARA YA BAGAMOYO — MAKOFIA — MSATA (KM 64) PAMOJA NA MIZANI YA KISASA ILIYOPO ENEO LA VIGWAZA
Barabara hii inayojengwa na kampuni ya Estim Construction ltd, na kusimamiwa na mhandisi mshauri kampuni ya JBG Gauff...
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Ulinzi miundombinu ya DART waungwa mkono
Pendekezo la Kamati ya kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kuharakisha uundwaji wa Kikosi Kazi cha ulinzi kwenye miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo...