kamati ya bunge ya serikali za mitaa na tawala za mikoa (Tamisemi) ytembelea miradi ya miundombinu dar es salaam
![](http://2.bp.blogspot.com/-FHtLhClQHnc/VPbIH8C7XmI/AAAAAAAHHgs/juelz-JLVng/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
Mwenyekiti wa kamati ya bunge ya serikali za mitaa na tawala za mikoa (Tamisemi) Mh. Hamis Kigwangala (kushoto) akisikiliza maelezo ya Meneja Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka kutoka TANROADS Mhandisi Elibariki Mmari wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua maendeleo ya Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka, (kulia) ni Mtendaji Mkuu wa DART Asteria Mlambo (wa pili) ni Mhandisi Athuman Mfutakamba mbunge wa jimbo la Igalua na mjumbe wa kamati hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-14jCC-ncUU4/VPbIIUkwibI/AAAAAAAHHgw/wpEY4QSdJB8/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W5rNcOAdNvw/Xm4Zik7adxI/AAAAAAALjv0/UtVw0V1MqxgrWKoHHNt1z6MO0hb7HVgmwCLcBGAsYHQ/s72-c/unnamed-1-4.jpg)
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa yafanya ukaguzi na kuridhishwa na ujenzi wa hospitali halmashauri ya Mbulu
![](https://1.bp.blogspot.com/-W5rNcOAdNvw/Xm4Zik7adxI/AAAAAAALjv0/UtVw0V1MqxgrWKoHHNt1z6MO0hb7HVgmwCLcBGAsYHQ/s1600/unnamed-1-4.jpg)
Muonekano wa baadhi ya majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Halmashauri ya Mbulu.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/unnamed-2-2.jpg)
Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe Mwita Waitara akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/unnamed-3-1.jpg)
Naibu Waziri Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Mary Mwanjelwa akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/unnamed-4-1.jpg)
Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe Daniel Mtuka(aliyeshika simu), Mbunge wa jimbo la Kilolo Mhe Venance Mwamoto(wa tatu kutoka kushoto), Mbunge wa jimbo la Kyerwa Mhe Innocent...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXSl2s8NkHz4bXBkO6k973UcLHYwLI8JxrUt675icPcE3rTdBr7m5kjeRD2N-0qIn4-0NzVvQgG*2cPGeiMo3836/02.jpg?width=650)
NAIBU WAZIRI OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA(TAMISEMI)MH.KASSIM MAJALIWA AZINDUA RASMI KAMPENI YA FISTULA MWISHONI MWA WIKI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-qR3mZchJ2j4/VMzw1eLqr0I/AAAAAAAHAjQ/YXv1dH0-69E/s72-c/1.jpg)
Bunge laridhishwa na utendaji wa serikali, lapitisha taarifa za za Kamati ya Bajeti, Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), Hesabu za Serikali (PAC), Miundombinu na Nishati na Madini.
11 years ago
Michuzi12 Mar
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU WAPYA MWAKA 2013/14
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
![](https://3.bp.blogspot.com/-Twf6T849VFA/Ux61eMEbO7I/AAAAAAACrNU/wKcyjApmjL4/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
5 years ago
MichuziRAIS DKT.SHEIN AZUNGUMZA NA UONGOZI WA WIZARA YA NCHI OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA NA IDARA MAALUM ZA SMZ
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O4oYJIUB2qc/XnBWSw90_5I/AAAAAAALkAo/ofgQxOzce5AFTqeKk23SHDTv4WeTNg0DQCLcBGAsYHQ/s72-c/A.png)
kamati ya hesabu za serikali za mitaa yakoshwa na miradi ya maendeleo Makambako
Kamati ya kudumu ya bunge ya hesabu za serikali za mitaa LAAC imeridhishwa na hali ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya halmashauri ya mji wa Makambako mkoani Njombe,na kuahidi kuongeza nguvu serikalini ili kusaidia ukamilishwaji wa ujenzi wa majengo ya makao makuu ya halmashauri hiyo.
Makamu mwenyekiti wa kamati ya LAAC Abdalah Chikota ambaye ni mbunge wa jimbo la Nanyamba amesema hali ya utekelezaji wa miradi katika halmashauri ya mji wa Makambako inaridhisha...
10 years ago
Dewji Blog09 Apr
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) yashiriki mkutano mkuu wa 30 ALAT jijini Dar es Salaam
![DSC_0085](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/04/DSC_0085-e1428575817381.jpg)
Naibu waziri wa TAMISEMI,Khasim Majaliwa,akipata maelezo na kusaini kitabu cha wageni kutoka kwa Afisa Uhusiano Mwandamizi wa Tasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu chini ya Wizara ya Fedha, Bw, Uli Mtebe
Na Andrew Chale wa Modewji blog
Taasisi ya Miradi na Maendeleo ya Miundombinu (UTT-PID) inayoshiriki mkutano mkuu wa miaka wa 30 wa jumuia za Serikali za Mitaa Nchini (ALAT), unaofanyika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere, jijini Dar es Salaam.Mkutano huo ulioanza...
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE HESABU ZA SERIKALI ZA MITAA (LAAC) YANYOOSHEA KIDOLE HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU