KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaBCQOCNCCE/VQF8Hu8r56I/AAAAAAAHJ2g/h6pO_01Mezs/s72-c/unnamed%2B(51).jpg)
Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Miundombinu Profesa Juma Athumani Kapuya akizungumza na watendaji wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) kuhusu utekelezaji wa ujenzi wa nyumba za Serikali, wakati walipotembelea ofisi za Wakala jana jijini Dar es Salaam. Pembeni yake ni Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli.
Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akieleza jambo kwa Kamati ya Bunge ya Miundombinu (hawapo pichani) kuhusuiana na mafanikio na changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa miradi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU ILIPOTEMBELEA OFISI ZA WAKALA WA MAJENGO TANZANIA (TBA)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s72-c/IMG_0150.jpg)
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YATEMBELEA KAMPUNI YA SIMU TANZANIA (TTCL) NA OFISI ZA MKONGO WA TAIFA WA MAWASILIANO
![](http://3.bp.blogspot.com/-k6e5DFtLzKk/Uuvh8MNF_LI/AAAAAAAFJ-4/ZDQVwf1VCQE/s1600/IMG_0150.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gTOybU_8IKg/Uuvh8M2TXuI/AAAAAAAFJ_A/s8CPhZkYNU4/s1600/IMG_0164.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-NdSExD2wGJI/Uuvh9I_3XZI/AAAAAAAFJ_M/a5VS5pahAXk/s1600/IMG_0190.jpg)
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu.
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-KXVgcI-rDfk/VMC_RaOFMWI/AAAAAAAG-5g/xuNYnhhLACA/s72-c/unnamedT1.jpg)
Kamati ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Yatembelea Miradi ya Maji Tanzania Bara
![](http://2.bp.blogspot.com/-KXVgcI-rDfk/VMC_RaOFMWI/AAAAAAAG-5g/xuNYnhhLACA/s1600/unnamedT1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LYGqpjXhDG4/VMC_Q27voUI/AAAAAAAG-5c/mb9Cb6qdZg0/s1600/unnamedT2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wvBn_MX1K7g/VMC_QbtPs0I/AAAAAAAG-5U/guW5CHTMGC8/s1600/unnamedT3.jpg)
10 years ago
Habarileo23 Jan
Kamati ya Bunge yatembelea miradi ya maji
WIZARA ya Maji imelazimika kuwapeleka wabunge wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Klimo, Mifugo na Maji katika miradi mbalimbali ya maji Tanzania bara, ili kujionea hali ya utekelezaji wa miradi hiyo.
5 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YAKAGUA MAJENGO YA MAHAKAMA
11 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire
10 years ago
VijimamboKAMATI YA BUNGE YATEMBELEA MAKAO MAKUU YA PSPF, NA KUFURAHISHWA NA MAFANIKIO YALIYOFIKIWA