Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge lataka miundombinu DART ilindwe

KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi nchini ili kuunda kikosi maalumu cha ulinzi wa miundombinu ya mradi huo ambayo imekuwa ikihujumiwa na baadhi ya watu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART

KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ulinzi miundombinu ya DART waungwa mkono

Pendekezo la Kamati ya kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kuharakisha uundwaji wa Kikosi Kazi cha ulinzi kwenye miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YA MIUNDOMBINU YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU

KAMATI YA YAAGIZA ULINZI WA MIUNDOMBINU
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Miundombinu imeitaka Serikali kuhakikisha inaweka ulinzi madhubuti katika miundombinu ya mradi wa barabara za juu (Interchange) katika makutano ya eneo la Ubungo jijini Dar es Salaam ili idumu kwa kipindi kirefu. 
Mradi huo wenye lengo la kupunguza msongamano wa magari katika njia za barabara za Morogoro, Mandela na Sam Nujoma unagharimu kiasi cha shilingi bilioni 229 na huku Serikali ikichangia fedha za fidia kwa wananchi...

 

10 years ago

Mwananchi

DART ibuni mbinu kulinda miundombinu yake

Hapana shaka kwamba yeyote ambaye ametembelea mradi wa ujenzi wa Mabasi Yaendayo Kasi (DART), ni shahidi wa uharibifu na hujuma zinazofanywa kwenye miundombinu ya mradi huo wa pekee katika bara la Afrika.

 

9 years ago

Michuzi

WATAKAO HUJUMU MIUNDOMBINU YA DART KULIPA FAINI YA LAKI TATU.

 Mkurugenzi wa Mifumo Juhn Mlingi kutoka Taasisi ya Mabasi yaendayo Haraka (Dar es Salaam Rapid Transport) akitoa ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa mradi huo kwa wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) na waandishi wa habari walipokuwa katika ziara ya kukagua miundo mbinu ya mradi huo katika kituo cha Kivukoni jana jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wafanyakazi wa Tanroads wakipanda  gari la Mradi  wa Mabasi yaendayo Haraka jana  jijini Dar es Salaam katika  ziara ya kukagua...

 

9 years ago

Dewji Blog

Watakao hujumu miundombinu ya DART kulipa faini ya laki tatu

PIX 1

Mkurugenzi wa Mifumo Junn Mlingi kutoka Taasisi ya Mabasi yaendayo Haraka (Dar es Salaam Rapid Transport) akitoa ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa mradi huo kwa wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) na waandishi wa habari walipokuwa katika ziara ya kukagua miundo mbinu ya mradi huo katika kituo cha Kivukoni jana jijini Dar es Salaam.

PIX 2

Baadhi ya wafanyakazi wa Tanroads wakipanda  gari la Mradi  wa Mabasi yaendayo Haraka jana  jijini Dar es Salaam katika  ziara ya kukagua...

 

10 years ago

BBCSwahili

Bunge la US lataka Ukraine ipewe Silaha

Wakuu wa bunge la wawakilishi Marekani wamemwandikia barua Rais Obama wakimtaka kutoa silaha kwa Ukraine ili kupambana na waasi

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kanisa lataka Bunge Maalum livunjwe 

ASKOFU wa Kanisa la Methodist Jimbo la Dodoma, Joseph Bundala, amemtaka Rais Jakaya Kikwete, kuvunja Bunge Maalum la Katiba kwakuwa umekosekana mwafaka wa pande mbili zinazovutana. Akizungumza na waandishi wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lataka madeni TTCL yalipwe

KAMATI ya Bunge ya Miundombinu imewataka wanaodaiwa katika Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kulipa madeni yao kwa wakati, ili iweze kujiendesha kwa ufanisi zaidi. Akizungumza na waandishi wa habari jijini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani