Watakao hujumu miundombinu ya DART kulipa faini ya laki tatu
Mkurugenzi wa Mifumo Junn Mlingi kutoka Taasisi ya Mabasi yaendayo Haraka (Dar es Salaam Rapid Transport) akitoa ufafanuzi wa maendeleo ya ujenzi wa mradi huo kwa wafanyakazi wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) na waandishi wa habari walipokuwa katika ziara ya kukagua miundo mbinu ya mradi huo katika kituo cha Kivukoni jana jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wafanyakazi wa Tanroads wakipanda gari la Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka jana jijini Dar es Salaam katika ziara ya kukagua...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziWATAKAO HUJUMU MIUNDOMBINU YA DART KULIPA FAINI YA LAKI TATU.
10 years ago
Habarileo01 Nov
Bunge lataka miundombinu DART ilindwe
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi nchini ili kuunda kikosi maalumu cha ulinzi wa miundombinu ya mradi huo ambayo imekuwa ikihujumiwa na baadhi ya watu.
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Ulinzi miundombinu ya DART waungwa mkono
Pendekezo la Kamati ya kudumu ya Bunge ya Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kuharakisha uundwaji wa Kikosi Kazi cha ulinzi kwenye miundombinu ya mradi wa mabasi yaendayo...
10 years ago
Mwananchi24 Oct
DART ibuni mbinu kulinda miundombinu yake
11 years ago
Mwananchi19 Jun
Kulipa faini kisasa mbioni kuanza
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U4nVIpmxyNP1GG2OvBl-pZqIy0qkKxdJ3wlxpfqYP0c1icsr3cWCZJWf6zRj3ESLYhv9R4BrKYxNO2A0rbr3rQmXFs6wOZGS/MO7A0208.jpg?width=650)
MJUKUU WA MANDELA KUFUNGWA, AU KULIPA FAINI
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...
10 years ago
VijimamboUZINDUZI WA ALBAMU TATU ZA MWAITEGE NI KESHO UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE, WAIMBAJI WATAKAO MSINDIKIZA WATAMBULISHWA
10 years ago
Vijimambo26 Feb
CHID BENZ AACHIWA HURU BAADA YA KULIPA FAINI
Chid Benz alikamatwa mwaka jana katika Uwanja wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa na madawa ya kulevya, ikiwemo misokoto ya bangi.
Mwanamuziki huyo ambaye alikiri kosa hilo wiki iliyopita, alikamatwa uwanjani hapo akiwa anajitayarisha kupanda ndege kwenda Mbeya kwenye tamasha la muziki.
CHIDI BENZ...