Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe
>Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imependekeza watendaji wakuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii akiwemo Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexanda Songorwa, kuwajibishwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kuhujumu Operesheni Tokomeza Ujangili.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo08 Jun
Viongozi wauza ardhi wang’olewe-Lowassa
WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Mauaji ya Kiteto; Umbulla, Mbwilo wang’olewe
KUFUATIA mauaji ya watu takribani 30 kuuawa kinyama wilayani Kiteto, bila kuwepo uwajibikaji, ni wakati muafaka sasa Mkuu wa wilaya hiyo, Martha Umbulla na Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Eraston...
10 years ago
Habarileo20 Jan
Kamati ya Bunge yazibana wizara za Ardhi, Maliasili
KAMATI ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imezitaka Wizara za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Maliasili na Utalii, kuhakikisha zinamaliza mgogoro wa ardhi uliopo katika eneo la Hifadhi ya Saadani bila kulitumia Bunge kwa maslahi yao binafsi.
10 years ago
Habarileo05 May
Kamati ya Bunge yaikataa bajeti Maliasili na Utalii
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii jana ilikataa kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii huku ikiwataka Waziri na watendaji wake kuondoka ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dar es Salaam ambako walikuwa wakutane kwa majadiliano.
10 years ago
Habarileo06 Feb
Kamati ya Bunge yataka walimu wasajiliwe
KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini.
10 years ago
StarTV05 May
Kamati ya bunge maliasili, yaitupia lawama Wizara ya Ujenzi.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imekataa kujadili Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii baada ya Wizara hiyo kukiuka makubaliano na kamati hiyo na kusababisha hasara kwa taifa baada ya kuziba mianya ya kuziingizia fedha hifadhi za taifa.
Miongoni mwa mianya hiyo ni pamoja na utaratibu wa kuingia kwenye hifadhi mara mbili uliosababisha hasara ya Shilingi bilioni 15 kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, huku ucheleweshwaji wa tozo...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--GU4jvCk7Zs/VEtWJO2phyI/AAAAAAAGtOk/AJ8wT10VNiA/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Kamati ya Bunge ya Kudumu Ardhi, Maliasili na Mazingira wakagua viwanda
![](http://3.bp.blogspot.com/--GU4jvCk7Zs/VEtWJO2phyI/AAAAAAAGtOk/AJ8wT10VNiA/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Js_okLMeRrU/VEtWJNUVRmI/AAAAAAAGtOs/xOq0qLy5p2o/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E9UdX7S7dFU/VFAv6M-9TCI/AAAAAAADL0o/JgafOtBp67s/s72-c/20141028_152657.jpg)
Ziara ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika Migodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9UdX7S7dFU/VFAv6M-9TCI/AAAAAAADL0o/JgafOtBp67s/s1600/20141028_152657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z9We0OE88k/VFAv6K8BBkI/AAAAAAADL0s/iF52EtwCCqo/s1600/20141028_153108.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DNWDIXmmsFQ/VFAv6EmKqxI/AAAAAAADL00/7pjaGiWrMIY/s1600/20141028_153149.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART
KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...