Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mauaji ya Kiteto; Umbulla, Mbwilo wang’olewe

KUFUATIA mauaji  ya watu takribani 30 kuuawa kinyama wilayani Kiteto, bila kuwepo uwajibikaji,  ni wakati muafaka sasa Mkuu wa wilaya hiyo, Martha Umbulla na  Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Eraston...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Viongozi wauza ardhi wang’olewe-Lowassa

John Mhala, Monduli WANANCHI wa Jimbo la Monduli wilayani Monduli mkoani Arusha wametakiwa kuwang’oa madarakani viongozi wa vijiji wanaoshiriki kinyume na utaratibu kuuza ardhi bila ya kufuata utaratibu kwa kuendekeza zawadi ya bia na nyama choma.

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe

>Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,  Maliasili na Utalii imependekeza  watendaji wakuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii akiwemo Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexanda Songorwa,  kuwajibishwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa  kuhujumu Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya Kiteto, Siha yakome

KWA muda mrefu kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya habari kuhusu ugomvi kati ya wakulima na wafugaji wanaogombania maeneo hapa nchini Ugomvi wa pande hizo mbili zimekuwa zikisababisha vifo, majeraha,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mauaji kiteto kujadiliwa Bungeni

BUNGE limepeleka kamati ndogo, chini ya uongozi wa Mbunge wa Simanjiro, Christopher Ole Sendeka, kwenda kuchunguza mauaji ya kutisha yanayoendelea kutokea wilayani Kiteto mkoani Manyara. Hatua hiyo ilitangazwa jana Bungeni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

DC adaiwa kuchochea mauaji Kiteto

MKUU wa Wilaya (DC) ya Kiteto mkoani Manyara, Martha Umbulla, amedaiwa kuwa chanzo cha kuchochea mauaji ya wakulima na wafugaji. Madai hayo yalitolewa na Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mauaji ya wakulima tena Kiteto

MAPAMBANO kati ya wakulima na wafugaji katika Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, yanaendelea kushika kasi na kusababisha watu wanne kupoteza maisha. Hali hiyo ilibainishwa na Katibu wa wakulima wilayani hapa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mauaji yazidi kutikisa Kiteto

Mapigano baina ya wakulima na wafugaji Wilayani Kiteto mkoani Manyara, yameendelea tena, ambapo watu wengine wawili wamefariki dunia jana na kufanya idadi ya waliouawa kuwa saba.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Mauaji ya Kiteto yalitikisa Bunge


JESHI Polisi linawashikilia watu watano kuhusiana na mauaji katika mapigano kati ya wafugaji na wakulima katika kijiji cha Matui wilayani Kiteto.
Katika mapigano hayo, watu wanne waliuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa.
Akitoa kauli ya serikali bungeni jana, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mathias Chikawe, alisema mapigano hayo yalitokea juzi katika wilaya hiyo.
Chikawe alisema Jumanne iliyopita katika kijiji hicho, mkulima Hassan Kondeja, mkazi wa Kijiji cha Bwawani, alikwenda katika Kituo cha...

 

10 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nachukia mauaji ya Kiteto

g jpg*Asema hayupo tayari kuongoza Serikali inayovuja damu

 

Na Bakari Kimwanga, Kongwa

MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema amechoka kusikia mauaji ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto.

Mgombea huyo alisema akichaguliwa kuwa rais atashughulika na Mkuu wa Mkoa (RC) na Mkuu wa Wilaya (DC), atakaowateua iwapo mauaji hayo yataendelea.

Alisema Kamanda wa Polisi wa Mkoa (RPC) atakayeteuliwa anapaswa kujipanga vizuri kusimamia amani katika eneo hilo la sivyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani