Kamati ya bunge maliasili, yaitupia lawama Wizara ya Ujenzi.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imekataa kujadili Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii baada ya Wizara hiyo kukiuka makubaliano na kamati hiyo na kusababisha hasara kwa taifa baada ya kuziba mianya ya kuziingizia fedha hifadhi za taifa.
Miongoni mwa mianya hiyo ni pamoja na utaratibu wa kuingia kwenye hifadhi mara mbili uliosababisha hasara ya Shilingi bilioni 15 kwenye Hifadhi ya Ngorongoro, huku ucheleweshwaji wa tozo...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo20 Jan
Kamati ya Bunge yazibana wizara za Ardhi, Maliasili
KAMATI ya Kudumu ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, imezitaka Wizara za Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na ile ya Maliasili na Utalii, kuhakikisha zinamaliza mgogoro wa ardhi uliopo katika eneo la Hifadhi ya Saadani bila kulitumia Bunge kwa maslahi yao binafsi.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oknu7fJWIIg/U2jsWuyuQ8I/AAAAAAAFf6o/MlO1qCGkEgQ/s72-c/unnamed+(15).jpg)
KAMATI YA BUNGE YAPITISHA MAKADIRIO YA BAJETI YA WIZARA YA UJENZI
10 years ago
BBCSwahili22 Dec
Marekani yaitupia lawama Korea kaskazini
10 years ago
Habarileo05 May
Kamati ya Bunge yaikataa bajeti Maliasili na Utalii
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Maliasili na Utalii jana ilikataa kujadili bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii huku ikiwataka Waziri na watendaji wake kuondoka ukumbi wa mikutano wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dar es Salaam ambako walikuwa wakutane kwa majadiliano.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s72-c/PICHA%2B1.jpg)
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AWAONGOZA WAJUMBE WA KAMATI YA BUNGE MAMBO YA NJE, ULINZI NA USALAMA KUPOKEA TAARIFA YA MRADI WA UJENZI MAKAO MAKUU YA NIDA JIJINI DODOMA.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lUyqF8qGHi4/XnJOZF1PTpI/AAAAAAALkWU/44bUxENF4zkOoMerw0RIqLyJmZpFFD3jgCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-jXtnJTM2doQ/XnJOZKxw_jI/AAAAAAALkWQ/jDWWERpQ8ogJRG12JhCm552lYV3rcZ1RQCLcBGAsYHQ/s640/PICHA%2B2.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/--GU4jvCk7Zs/VEtWJO2phyI/AAAAAAAGtOk/AJ8wT10VNiA/s72-c/unnamed%2B(67).jpg)
Kamati ya Bunge ya Kudumu Ardhi, Maliasili na Mazingira wakagua viwanda
![](http://3.bp.blogspot.com/--GU4jvCk7Zs/VEtWJO2phyI/AAAAAAAGtOk/AJ8wT10VNiA/s1600/unnamed%2B(67).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Js_okLMeRrU/VEtWJNUVRmI/AAAAAAAGtOs/xOq0qLy5p2o/s1600/unnamed%2B(68).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-E9UdX7S7dFU/VFAv6M-9TCI/AAAAAAADL0o/JgafOtBp67s/s72-c/20141028_152657.jpg)
Ziara ya Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira katika Migodi
![](http://1.bp.blogspot.com/-E9UdX7S7dFU/VFAv6M-9TCI/AAAAAAADL0o/JgafOtBp67s/s1600/20141028_152657.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-2z9We0OE88k/VFAv6K8BBkI/AAAAAAADL0s/iF52EtwCCqo/s1600/20141028_153108.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DNWDIXmmsFQ/VFAv6EmKqxI/AAAAAAADL00/7pjaGiWrMIY/s1600/20141028_153149.jpg)
11 years ago
MichuziKamati ya Bunge ya Ardhi maliasili na mazingira yatembelea hifadhi ya taifa ya Tarangire