Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamati ya Bunge yataka Ofisa Utumishi Nkasi ashushwe cheo

Mwenyekiti wa Kamati ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali, Felister BuraKAMATI ndogo ya Bunge ya Hesabu za Serikali imeitaka Wizara inayohusika na Serikali za Mitaa na Tawala za Mikoa (Tamisemi) kumuondoa na kumshusha cheo Ofisa Utumishi wa Halmashauri ya Nkasi, Deogratias Mboya.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Kamati ya Bunge yataka walimu wasajiliwe

KAMATI ya Bunge ya Huduma za Jamii imetaka walimu nchini kusajiliwa ikiwa ni pamoja na wanaofanya kazi katika shule binafsi ili kuwatambua na kuweka kiwango cha msingi cha kutoa huduma kote nchini.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamati ya Bunge yataka kikosi kulinda miundombinu DART

KAMATI ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), imetoa agizo kwa Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) kuharakisha kufanya makubaliano na Jeshi la Polisi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kamati ya Bunge yataka watendaji Maliasili wang’olewe

>Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi,  Maliasili na Utalii imependekeza  watendaji wakuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii akiwemo Mkurugenzi wa Wanyamapori, Profesa Alexanda Songorwa,  kuwajibishwa na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa  kuhujumu Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kamati ya Bunge yataka mradi umalizike kwa wakati



                                                                                    NA WILLIAM SHECHAMBO, Morogoro Mwenyekiti, Prof. Msolwa (Mwenye shati jeupe)KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo, na Maji, imesisitiza kukamilika kwa mradi wa maji wa Ubena Zomozi, ulioko Chalinze mkoani Pwani katika muda uliopangwa. Imesema hatua hiyo itawapa unafuu wananchi wa vijiji kadhaa vya wilaya za Bagamoyo na baadhi ya maeneo ya Morogoro, kutokana na kukumbwa na shida ya maji kwa kipindi...

 

5 years ago

Michuzi

KAMATI YA BUNGE YATAKA SEKTA BINAFSI ISHIRIKISHWE KUSAMBAZA GESI ASILIA

Veronica Simba – Dar es Salaam
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imeishauri Serikali kushirikisha sekta binafsi katika usambazaji wa gesi asilia nchini ili kuongeza kasi yake, hivyo kuinufaisha jamii ipasavyo.
Hayo yalibainishwa jana, Machi 14, 2020 na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Dunstan Kitandula wakati akifanya majumuisho baada ya Wajumbe wa Kamati husika kutembelea baadhi ya makazi ya wananchi wa Dar es Salaam, waliounganishiwa gesi asilia kwa matumizi ya kupikia.
Alisema kuwa...

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

9 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO

 Spika wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume  ya Utumishi ya Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiongea na  Ujumbe wa Tume ya Utumishi kutoka Bunge la Nigeria walipomtembelea leo Ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya Utumishi na Uendeshaji wa Bunge ambapo Mhe. Makinda aliambatana na wajumbe wa Tume ya Bunge la Tanzania. Kulia kwake ni Kiongozi wa Msafara wa Tume hiyo Mhe. Yepwi Stephen Dako. Bunge la Tanzania leo kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

KUELEKEA MAJIMBONI: ccm itapigwa saa mbili asubuhi Nkasi Kusini na nkasi kaskazini

Wilaya ya Nkasi ni moja kati ya wilaya nne za mkoa wa Rukwa. Wilayah hii inaundwa na kata 22, vijiji 105 na vitongoji 768. Kwa upande wa idadi ya watu, kwa mujibu wa sensa ya watu na makazi ya mwaka 2012, wilaya ya Nkasi ilikadiriwa kuwa na wakazi 281,200 ambapo wanaume walikuwa 137,041, wanawake 144,159 na kuna wastani wa watu 5.3 katika kila kaya.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kamati yataka ripoti ya IPTL

KAMATI ya Uchumi, Viwanda na Biashara, imeitaka Serikali kuwasilisha taarifa ya uchunguzi wa sh. milioni 200 za IPTL katika vikao vya Bunge vinavyotarajiwa kuanza wiki hii, mkoani Dodoma. Akizungumza na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani