Uamuzi, adhabu TFF yajichanganya
Wakati Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) ikimfungia kucheza mechi tatu, mshambuliaji Haruna Chanongo na kumpiga faini ya Sh500,000, baadhi ya makocha na wachezaji wamepelekwa kwenye Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kwa kukiuka kanuni za ligi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV04 May
TFF yatoa adhabu kwa watovu wa nidhamu
Shirikisho la soka nchini Tanzania (TFF) limetoa adhabu kwa timu, viongozi na wachezaji kwa utovu wa nidhamu,.
Kwa mujibu wa Afisa Habari wa TFF, Baraka Kizuguto, Ruvu Shooting imepigwa faini ya sh. 300,000 (laki tatu- wastani wa dola 180) kwa kuzingatia Kanuni ya 14(9) ya Ligi Kuu kwa kutoingia kwenye vyumba vya kubadilishia nguo (changing room) katika mechi namba 149 dhidi ya Kagera Sugar iliyochezwa Uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga
Pia Ruvu Shooting imepigwa faini ya sh. 500,000 (laki...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Wakala wa Fifa ashangaa uamuzi wa kamati ya TFF
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s72-c/images.jpg)
TAARIFA KUTOKA TFF LEO: TFF KUREJESHA OFISI ZAKE KARUME, MUDA WA USAJILI WAONGEZWA KWA SIKU KUMI
![](http://4.bp.blogspot.com/-SZo6Ey4n678/U_DFbM-Sx_I/AAAAAAAGARs/iGf960dRBCQ/s1600/images.jpg)
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limeamua kurejesha ofisi zake Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume kwa vile mipango ya uendelezaji wa eneo hilo bado haijakwenda kama ilivyopangwa awali. Uamuzi huo ni moja ya maazimio yaliyofikiwa kati ya Kamati ya Utendaji ya TFF na ujumbe wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) uliokuwepo nchini kwa wiki nzima kwa ajili ya kufanya mapitio (review) ya uendeshaji wa TFF. Akizungumza Dar es Salaam leo (Agosti 17 mwaka huu), kiongozi wa ujumbe...
9 years ago
Habarileo01 Oct
Nyosso kuongezewa adhabu
KLABU ya Azam FC imesema kuwa inajipanga kuchukua hatua za kisheria zaidi katika kufuatilia sakata la mchezaji wake John Bocco kudhalilishwa na mchezaji Juma Nyosso wa Mbeya City.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*k9pHGBCHsmczMVeBhexX3lUax*VzJjAKNw3P9diig6ccTyQYDC9aj1XT3gMcI9mH3*qF8c1V1g9D99AeLQpwPT4mHiMuHLJ/IssabelaMpanda.jpg)
ISABELA ACHEKELEA ADHABU YA SHILOLE
10 years ago
BBCSwahili16 Oct
''Pistrorius anastahili adhabu kali''
9 years ago
Habarileo22 Dec
Adhabu ya Blatter ndogo - Ndolanga
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) sasa (TFF) Alhaj Muhudin Ndolanga amesema adhabu waliyopewa vigogo wa soka duniani Sepp Blatter wa Fifa na Michel Platin wa Uefa ni ndogo. Kamati ya Maadili ya Fifa jana iliwafungia Rais huyo wa Fifa Blatter na Mwenyekiti wa Uefa Platini kutojihusisha na soka kwa miaka minane baada ya kukutwa na hatia katika masuala mbalimbali yakiwemo kujihusisha na rushwa.
10 years ago
BBCSwahili12 Feb
Morocco yapinga adhabu za Caf
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Adhabu kwa vigogo CCM