Adhabu ya Blatter ndogo - Ndolanga
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) sasa (TFF) Alhaj Muhudin Ndolanga amesema adhabu waliyopewa vigogo wa soka duniani Sepp Blatter wa Fifa na Michel Platin wa Uefa ni ndogo. Kamati ya Maadili ya Fifa jana iliwafungia Rais huyo wa Fifa Blatter na Mwenyekiti wa Uefa Platini kutojihusisha na soka kwa miaka minane baada ya kukutwa na hatia katika masuala mbalimbali yakiwemo kujihusisha na rushwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo03 Oct
Jaji ashangaa akina Mramba kupewa adhabu ndogo
JAJI Projest Rugazia wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, ameelezea kushangazwa na sheria za Tanzania, kwa kutoa adhabu ndogo kwa mawaziri wa zamani, Basil Mramba na Daniel Yona, ikilinganishwa na kiasi cha fedha walichosababisha hasara.
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …
Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]
The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
MichuziTANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA UDHIBITI WA SILAHA NDOGO NDOGO NA NYEPESI
Imeelezwa kuwa Tanzania imepiga hatua kubwa katika kukabiliana na tatizo la uzagaaji wa silaha ndogo ndogo na nyepesi kutokana na nchi nyingine za Afrika kuja kujifunza jinsi ya kukabiliana na tatizo hilo hapa nchini.
Hayo yalisemwa na Mkurugenzi wa maendeleo ya Jinsia kutoka Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Bw.Meshack Ndaskoi wakati akifungua semina ya jinsia na uthibiti wa silaha ndogondogo na nyepesi iliyofanyika katika chuo cha Taaluma...
9 years ago
Dewji Blog26 Aug
ESAURP yaandaa mafunzo kwa wafanyabiashara ndogo ndogo mkoani Mbeya
Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika (ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.(Picha Emanuel Madafa Mbeya wa JAMIIMOJABLOG).
Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika...
10 years ago
Dewji Blog30 Jul
Exclusive: Wafanyabiashara ndogo ndogo Posta mpya watwangana makonde ‘live’
Baadhi ya wafanyabiashara hao wadogowadogo wakiwa katika ugomvi huo ambao ulidumu zaidi ya dakika 10, huku kila mmoja akimshambulia mwenzake kwa kile kilichosemekana kugombea eneo la kupanga bidhaa zao hizo. (Picha zote na Andrew Chale wa modewjiblog).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Wafanyabiashara wadogowadogo maarufu Machinga asubuhi ya leo wameweza kusimamisha baadhi ya shughuli eneo la kituo cha mabasi cha Posta mpya baada ya kutokea ugomvi baina ya wao kwa wao...
9 years ago
VijimamboTAASISI YA UTAFITI YA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI (ESAURP)YAANDAA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MKOANI MBEYA
Mmoja wa wakufunzi wa masomo ya ujasiriamali Kutoka Chuo Kikuu Dar es salaam Profesa Humphrey Mushi akizungumza katika semina ya ujasiriamali inayotolewa na Taasisi ya utafiti ya vyuo vikuu vya afrika na kusini mwa Afrika ( ESAURP) kwa wafanyabiashara ndogondogo mkoa wa mbeya katika ukumbi wa shule ya St.Agrey jijini Mbeya Agosti 24 mwaka huu.Mwakilishi wa Taasisi ya Esaurp kutoka jijini Dar es salaam Ndugu Peter Celestine akizungumza katika mafunzo hayo ya siku tano yaliyolenga kuwapatia...
9 years ago
Dewji Blog22 Dec
Blatter na Platini wafungiwa miaka 8 kutojihusisha na soka, Blatter achukua uamuzi huu
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Rais wa Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA), Sepp Blatter (kushoto) na Rais wa UEFA, Michel Platini wamefungiwa miaka 8 kutojihusiaha na soka na kamati ya maadili ya FIFA kwa kosa la kutumia mamlaka yao vibaya kwa kosa la matumizi mabaya ya fedha za FIFA.
Blatter na Platini wanadaiwa kuwa mwaka 2011, kugawiana pesa kiasi cha Euro Milioni 1.35 ambapo Blatter alimlipa Platini kama malipo kwa kazi ya kuwa mshauri wa Blatter mwaka 1999-2002.
Licha ya kuwafungia miaka...
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Ndolanga: Nilisota kizuizini siku 260
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Kipigo cha Kili Stars chamuibua Ndolanga
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa kilichokuwa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF), Muhidin Ndolanga, amesema chombo hicho chini ya Rais Jamal Malinzi hakitapata mafanikio kutokana na uwepo wa mabaki ya uongozi...