Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ndolanga: Nilisota kizuizini siku 260

Nikamwambia; mwambie Mwalimu mimi Ndolanga, nimewekwa ndani sina kosa, mwenye kosa ni baba yangu mzazi aliyenipeleka shule, akasema sawa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Adhabu ya Blatter ndogo - Ndolanga

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) sasa (TFF) Alhaj Muhudin Ndolanga amesema adhabu waliyopewa vigogo wa soka duniani Sepp Blatter wa Fifa na Michel Platin wa Uefa ni ndogo. Kamati ya Maadili ya Fifa jana iliwafungia Rais huyo wa Fifa Blatter na Mwenyekiti wa Uefa Platini kutojihusisha na soka kwa miaka minane baada ya kukutwa na hatia katika masuala mbalimbali yakiwemo kujihusisha na rushwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wapiganaji 260 wa kikurdi wauawa

Shirika la habari la taifa la Uturuki, linasema kuwa wapiganaji wa Kikurd 260 wameuawa katika mashambulio ya ndege ya juma moja, dhidi ya kundi la PKK, lilopigwa marufuku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kipigo cha Kili Stars chamuibua Ndolanga

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa kilichokuwa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF), Muhidin Ndolanga, amesema chombo hicho chini ya Rais Jamal Malinzi hakitapata mafanikio kutokana na uwepo wa mabaki ya uongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nitakuwa wa mwisho kumpa tano Mzee Muhidin Ndolanga

MICHUANO ya Kombe la Chalenji kwa nchi zilizo chini ya Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), iliyoanza Novemba 27 ilifikia tamati Desemba 12, Nairobi, Kenya. Mbio...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maliasili wakusanya zaidi ya mil. 260/- Mpanda 

HALMASHAURI ya  Wilaya  ya Mpanda  imekusanya zaidi ya sh. milioni 260  zilizotokana  na mapato ya  ndani  zilizokusanywa  na Idara  ya Ardhi  na Maliasili  katika kipindi  cha mwaka mmoja  kuanzia  Julai  2013 ...

 

10 years ago

Daily News

260 students fail to report in Mwanga schools


260 students fail to report in Mwanga schools
Daily News
MORE than 260 students who were supposed to be in Form One this year in Mwanga District have not reported to school so far. Mwanga District Commissioner (DC), Mr Shaibu Ndemanga said here recently that reasons associated with such truancy include ...

 

9 years ago

BBCSwahili

260 wamefariki baada ya tetemeko la ardhi Asia

Zaidi ya watu 260 wamefariki, kutokana na tetemeko hilo baya zaidi la ardhi, katika kipindi cha muongo mmoja.

 

10 years ago

BBCSwahili

Profesa Lipumba awekwa kizuizini

Polisi Tanzania linamshikilia mwenyekiti wa chama cha siasa cha CUF Profesa Ibrahim Lipumba na wakiwemo wafuasi wake 32.

 

9 years ago

BBCSwahili

Daktari bandia kusalia kizuizini

Daktari bandia anayetuhumiwa kuwapa kina mama dawa ya kupoteza ufahamu na hatimaye kuwabaka katika kliniki yake afikishwa mahakamani

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani