Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kipigo cha Kili Stars chamuibua Ndolanga

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa kilichokuwa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF), Muhidin Ndolanga, amesema chombo hicho chini ya Rais Jamal Malinzi hakitapata mafanikio kutokana na uwepo wa mabaki ya uongozi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!

kilistars

Kikosi cha Kilimanjaro Stars..

Na Rabi Hume, Modewji blog

Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.

Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.

Goli la pili lilifungwa na Elias...

 

9 years ago

Mwananchi

Stars yarejea kipigo cha 1945

Ni miaka 70 imepita tangu Tanzania ipate kipigo kikubwa katika soka la kimataifa kwa kufungwa mabao 7-0.

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA AISHA CHAMUIBUA QUEEN SUZY

Mnenguaji wa FM AcademiaSuzan Chubwa ‘Queen Suzy’.
Stori: Gladness Mallya KIFO cha utata cha mnenguaji nyota Bongo, Mwanaisha Mbegu maarufu kama Aisha Madinda, kimemuibua Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ wa FM Academia, aliyewataka wenzake kuwa makini ili kutojiingiza katika utumiaji wa madawa ya kulevya. Akistorisha na paparazi wetu, Queen Suzy alisema ameumizwa sana na kifo hicho kwani ameacha pengo kubwa...

 

11 years ago

GPL

KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0

Kikosi cha Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars'. TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara 'Kilimanjaro Stars' imeondolewa kwenye michuano ya Kombe la Chalenji inayoendelea nchini Kenya baada ya kufungwa na timu ya Taifa ya Kenya 'Harambee Stars' bao1-0 katika mechi iliyomalizika hivi punde kwenye Uwanja wa Nyayo uliopo jijini Nairobi!

 

10 years ago

Mwananchi

Twiga Stars yafuzu kwa kipigo

Timu ya Taifa ya Soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imefuzu kushiriki Michezo ya Afrika mwezi Septemba nchini Congo-Brazaville licha ya kufungwa na Zambia (She-polopolo) kwa mabao 3-2 katika mchezo mkali uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

TheCitizen

Kili Stars go down fighting

Tanzania Mainland’s fairy-tale run at the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup came to an end yesterday after losing to host Ethiopia on 4-3 post match penalties.

 

9 years ago

Habarileo

Kili Stars, Ethiopia leo

TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.

 

9 years ago

TheCitizen

JK galvanises rampaging Kili Stars

The Mainland soccer team, Kilimanjaro Stars, were the first side to romp into the quarterfinal stage of the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup currently taking place in Ethiopia.

 

9 years ago

Habarileo

Kibadeni kocha Kili Stars

SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani