Kipigo cha Kili Stars chamuibua Ndolanga
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa kilichokuwa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF), Muhidin Ndolanga, amesema chombo hicho chini ya Rais Jamal Malinzi hakitapata mafanikio kutokana na uwepo wa mabaki ya uongozi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog23 Nov
Kili Stars yaanza vizuri Cecafa Senior Challenge, yaikamua Somalia, bingwa mtetezi Kenya nae aipa kipigo Uganda!
Kikosi cha Kilimanjaro Stars..
Na Rabi Hume, Modewji blog
Timu inayowakilisha Tanzania bara katika mashindano ya Cecafa Senior Challenge, Kilimanjaro Stars jana imeanza vyema mashindano hayo kwa kuifunga timu ya taifa ya Somalia kipigo cha goli 4 kwa bila.
Katika mchezo huo ambao Kili Stars ilionekana kutawala kwa kipindi kirefu ilifanikiwa kupata goli la kwanza dakika ya 11 kupitia kwa nahodha wa timu hiyo, John Bocco kwa njia ya mkwaju wa penati.
Goli la pili lilifungwa na Elias...
9 years ago
Mwananchi19 Nov
Stars yarejea kipigo cha 1945
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OlZDBEiORrwS03J3ZmYuxM-DhHSTerAoNvLTCN8G8ox5UlQSHnyiEl-sja8rWeGIBwJfIkmL9Xc0Zk2ggbixEQY/MAMANAMWANA12.jpg?width=650)
KIFO CHA AISHA CHAMUIBUA QUEEN SUZY
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BpcxhYIbWSbLLGO3dMemxhzCxjZITc88re1H1*3Zi1tqEKgZAICAsKI6OaSRZtLhUbz18rENtlbkeDZgTF6EcOl5iBAFelJ4/kilistars.jpg)
KILI STARS YAONDOLEWA CHALENJI, YAPIGWA NA HARAMBEE STARS 1-0
10 years ago
Mwananchi11 Apr
Twiga Stars yafuzu kwa kipigo
9 years ago
TheCitizen01 Dec
Kili Stars go down fighting
9 years ago
Habarileo28 Nov
Kili Stars, Ethiopia leo
TIMU ya Kilimanjaro Stars leo inashuka dimbani kucheza na wenyeji Ethiopia katika mchezo utakaofanyika Awassa. Tayari timu hiyo imefuzu kucheza robo fainali, lakini ushindi kwao ni muhimu ili kumaliza hatua ya makundi bila ya kufungwa mchezo hata mmoja.
9 years ago
TheCitizen26 Nov
JK galvanises rampaging Kili Stars
9 years ago
Habarileo10 Nov
Kibadeni kocha Kili Stars
SHIRIKISHO la soka Tanzania (TFF) limemteua Abdallah Kibadeni kuwa kocha wa timu ya taifa ya soka ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ kwa ajili ya michuano ya Kombe la Chalenji.