KIFO CHA AISHA CHAMUIBUA QUEEN SUZY
![](http://api.ning.com:80/files/BybgAqvu3OlZDBEiORrwS03J3ZmYuxM-DhHSTerAoNvLTCN8G8ox5UlQSHnyiEl-sja8rWeGIBwJfIkmL9Xc0Zk2ggbixEQY/MAMANAMWANA12.jpg?width=650)
Mnenguaji wa FM AcademiaSuzan Chubwa ‘Queen Suzy’. Stori: Gladness Mallya KIFO cha utata cha mnenguaji nyota Bongo, Mwanaisha Mbegu maarufu kama Aisha Madinda, kimemuibua Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ wa FM Academia, aliyewataka wenzake kuwa makini ili kutojiingiza katika utumiaji wa madawa ya kulevya. Akistorisha na paparazi wetu, Queen Suzy alisema ameumizwa sana na kifo hicho kwani ameacha pengo kubwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT1naBOPbIzfPt58AnsXpvYGdZXJ4xEgaVEMer3piKFZdksRL1HNSfRLTpxNQS5aMog41qcZ2QTAIAUQXkmZuVQO/suzy.jpg)
QUEEN SUZY HATIMAYE AJIFUNGUA
10 years ago
Mtanzania14 Apr
QUEEN SUZY: Sina chuki na ndoa ya Kalala Jr.
NA RHOBI CHACHA
MNENGUAJI tishio wa bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’, ameweka wazi kwamba hakuchukizwa na ndoa ya siri ya aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kalala Hamza ‘Kalala Jr.’ kwa kuwa walishaachana.
Queen Suzy alisema waliachana na mwanamuziki huyo anayeitumikia bendi ya Twanga Pepeta miaka nane iliyopita, hivyo hana wivu tena na mwanamume huyo na sasa anampongeza kwa kuwa alitumia muda mwingi kumtafuta mwanamke wa kumuoa.
“Si kweli kwamba nimechukia kuoa kwa Kalala kwa kuwa...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
KIFO CHA AISHA MADINDA KINA UTATA,MAZISHI YAAHIRISHWA KUPISHA UCHUNGUZI
Mazishi ya aliyekuwa mnenguaji wa bendi za Twanga Pepeta na Extra Bongo,Aisha Madinda yameahirishwa hadi majibu ya uchunguzi yatakapofanyika na kutolewa na hospitali ya taifa ya Muhimbili, ilidaiwa Aisha Madinda aliyefariki jana mchana wakati akikimbizwa hospitalini, na kwa mujibu wa hospitali ya Mwananyamala mpaka anafikishwa hospitali na waliupima mwili na kugundua alikwisha fariki dunia. Clouds FM imezungumza na mtoto wa kwanza wa marehem aitwaye, Feisal Madinda alisema kuwa mazishi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s72-c/IMG_1612.jpg)
Just in: polisi wachunguza sababu ya kifo cha aisha madinda, mazishi yanatarajiwa kufanyika kesho Kigamboni
![](http://3.bp.blogspot.com/-FVPeEemDNeY/VJLIp2m2ytI/AAAAAAAG4JE/xHuIvGbK-u8/s1600/IMG_1612.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Kipigo cha Kili Stars chamuibua Ndolanga
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa kilichokuwa Chama cha Soka Tanzania (FAT, sasa TFF), Muhidin Ndolanga, amesema chombo hicho chini ya Rais Jamal Malinzi hakitapata mafanikio kutokana na uwepo wa mabaki ya uongozi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jF779BPAXfZKseYToqi4QQzEImhNfKqLjiDMF9JXKEM9Zu*iBAYSYUoBtmaoNIcriSaNTV1QaElN8VdjNvlISiReRjJIXbP9/MADINDA.jpg?width=650)
MANENO YA MWISHO YA AISHA MADINDA ALIKIONA KIFO CHAKE
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIuXPv1DFnzacqC4U*CWVZ3EtBQyd85KnySlSNlXRAW5Qa2PUgB2qNB*ITuEnOHi3qZ6Y7fNuD306waEp-yVpXAv/aishaaa.jpg)
AISHA MADINDA; KUTOKA KIGOMA, UHOLANZI, DUBAI HADI KIFO!
5 years ago
BBCSwahili30 May
Kifo cha George Floyd : Maandamano yatanda huku afisa akikamatwa kwa kifo cha raia mweusi wa Marekani
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BPpJiWHQYV2XWlcmNTRoM6VTyBhCG2Dp4IkALdc6WBYudJULi58NempZ4nt444sEo05N-ek*ktStpiZ2CiYgGJWpnsdxzDgA/suz.jpg)
SUZY RAHA YA MWANAUME ADEKE!