Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


QUEEN SUZY: Sina chuki na ndoa ya Kalala Jr.

queenSuzyNA RHOBI CHACHA
MNENGUAJI tishio wa bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’, ameweka wazi kwamba hakuchukizwa na ndoa ya siri ya aliyewahi kuwa mpenzi wake, Kalala Hamza ‘Kalala Jr.’ kwa kuwa walishaachana.
Queen Suzy alisema waliachana na mwanamuziki huyo anayeitumikia bendi ya Twanga Pepeta miaka nane iliyopita, hivyo hana wivu tena na mwanamume huyo na sasa anampongeza kwa kuwa alitumia muda mwingi kumtafuta mwanamke wa kumuoa.
“Si kweli kwamba nimechukia kuoa kwa Kalala kwa kuwa...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

QUEEN SUZY HATIMAYE AJIFUNGUA

Na Waandishi Wetu/Ijumaa
MWANAMUZIKI wa Bendi ya FM Academia, Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ hivi karibuni amejifungua mtoto wa kike na ameeleza kuwa, amefarajika kwani alikaa muda mrefu tangu alipopata wa kwanza wa kiume. Mtoto wa , Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ akiwa na babaake. Mwanadada huyo alijaaliwa kupata mtoto huyo baada ya kuuficha ujauzito wake kwani alikuwa akikaa ndani tu mpaka alipojifungua....

 

10 years ago

GPL

KIFO CHA AISHA CHAMUIBUA QUEEN SUZY

Mnenguaji wa FM AcademiaSuzan Chubwa ‘Queen Suzy’.
Stori: Gladness Mallya KIFO cha utata cha mnenguaji nyota Bongo, Mwanaisha Mbegu maarufu kama Aisha Madinda, kimemuibua Suzan Chubwa ‘Queen Suzy’ wa FM Academia, aliyewataka wenzake kuwa makini ili kutojiingiza katika utumiaji wa madawa ya kulevya. Akistorisha na paparazi wetu, Queen Suzy alisema ameumizwa sana na kifo hicho kwani ameacha pengo kubwa...

 

10 years ago

GPL

SUZY RAHA YA MWANAUME ADEKE!

Stori: Imelda Mtema/Ijumaa Wikienda
MSANII wa kitambo katika anga la filamu Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’ amesema katika suala la uhusiano siku zote anampenda mwanaume anayejua kudeka. Msanii wa kitambo katika anga la filamu Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’. Akizungumza na mwanahabari wetu, Suzy alisema mwanaume anayejua kujidekeza ndiye mzuri lakini ambaye anajidai ni mgumu na kuleta masharti yeye siyo...

 

10 years ago

GPL

SUZY AKATAA KUITWA BONGO MOVIE

Stori:  Imelda Mtema
MSANII anayezidi kuja kwa kasi Bongo Movies, Happy Nyatawe ‘Suzy’ ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa kutokana na migogoro mbalimbali iliyokuwepo ndani ya Kundi la Bongo Movie, hata akipita njiani akiitwa kwa kutumia jina hilo hatogeuka. Msanii anayezidi kuja kwa kasi Bongo Movies, Happy Nyatawe ‘Suzy’ akipozi. Suzy alisema kutokana na ‘majanga’ kuwa mengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Suzy: Raha ya Mwanaume Adeke,Akivaa Kanzu Ndio Ananimaliza!!!

Mwigizaji wa  filamu  za hapa Bongo, Happy Nyatawe ‘Suzy’ amesema katika suala la uhusiano siku zote anampenda mwanaume anayejua kudeka.

Akizungumza na mwanahabari wa GPL, Suzy alisema mwanaume anayejua kujidekeza ndiye mzuri lakini ambaye anajidai ni mgumu na kuleta masharti yeye siyo fani yake kabisa.

“Mwanaume mwenye masharti kama ugonjwa wa kisukari simtaki, mwanaume anayedeka ndiyo mpango mzima, halafu anayependa kuvaa kanzu hapo ndiyo atanimaliza kabisa,” alisema...

 

11 years ago

Mwananchi

Simulizi ya Hamza Kalala ‘Komandoo’-1

Kuna wanamuziki ambao wamejipatia umaarufu mkubwa kupitia tasnia ya muziki, kwa kuufanya uvutie ndani na nje ya nchi.

 

10 years ago

Michuzi

11 years ago

Tanzania Daima

Kalala ajisalimisha Best Records Salasala

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa dansi nchini, Komandoo Hamza Kalala anatarajia kurekodi vibao vipya, baada ya kuingia katika studio ya  Best Records ya Salasala, jijini Dar es Salaam huku akiahidi...

 

10 years ago

Vijimambo

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani