Simulizi ya Hamza Kalala ‘Komandoo’-1
Kuna wanamuziki ambao wamejipatia umaarufu mkubwa kupitia tasnia ya muziki, kwa kuufanya uvutie ndani na nje ya nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima10 Jan
HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde
HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm*fD5czNASWiiqree50sf0ypAyOCXdhSfjnwy9s-*Wd2hXVpMrg0xOxDerpQsPdmWWRtHZFd*h5KhP*IuJ*1PX1/HAMZA.jpg)
HAMZA KALALA: SERIKALI ITUPIE JICHO LA TATU MUZIKI
Stori: Elvan Stambuli
GWIJI wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala ‘Komandoo’ au ‘Mzee wa Madongo’, ambaye pia ni Kiongozi wa Bendi ya Bantu Group ya jijini Dar es Salaam, aliyetembelea chumba chetu cha habari Bamaga Mwenge hivi karibuni, amesema serikali inapaswa kutupia jicho la tatu au kuuangalia muziki wa dansi nchini kwa kuwa unatoa ajira kwa vijana. Gwiji wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0U8UQjwDEm-oZpE8dtDAQk7vUI02SKeBr0cE*ea9OkLaVHJZM7-F*tAFKhbYgeRqN18eMeEtQm-9q1tDSnK0UguC9t5cZ62U/HamzaKomandoo.jpg?width=650)
11 years ago
GPLHAMZA KALALA, NAY WA MITEGO WALIPOTEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS
Hamza Kalala ‘Komandoo Kalala' akifafanua jambo kwa Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli wakati wa mahojiano yao yatakayoruka Global TV Online hivi karibuni. Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' akila pozi ndani ya ofisi za Global kabla ya kuhojiwa na Global TV Online.…
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/KOMBATI-1-001.jpg)
ANASWA NA KOMBATI ZA KOMANDOO
Kijana Zakaria Joseph akiwa amevalia kombati za jeshi. Na Haruni Sanchawa KIJANA aitwaye Zakaria Joseph 22, (pichani)mkazi wa Maili Moja, Kibaha, mkoani Pwani, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuvaa sare za Jeshi la Wananchi waTanzania (JWTZ), huku akitaka kuzitumia kuwashawishi polisi kutoa dhamana kwa mtu mmoja (jina limehifadhiwa). Taarifa zilizonaswa na gazeti hili zinasema kuwa, kijana huyo amekuwa akizutumia...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zMJxnqMJKq0hsuXYFtfx7Mz8xIgedsCMEuz5x09oLIw60FIqle22*XE83hK7LMT3UOy*vq7etqwLo0nv7amGsZyMq0JprOoE/3.jpg)
ALIYEUAWA NA KOMANDOO WA JWTZ MSIBA WAKE WAZIZIMA
Stori: Makongoro Oging’na Haruni Sanchawa
INAUMA sana! Baadhi ya ndugu waliokuwa wakiuaga mwili wa Aron Kihundwa (28) kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar walijikuta wakidondoka na kuzimia kufuatia uchungu wa kumpoteza mpendwa wao huyo aliyedaiwa kuuawa na Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Octavian Mgowele. Aron Kihundwa akiwa mahututi hospitali kabla ya kifo chake. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita na...
10 years ago
GPLKOMANDOO WA JWTZ ALIYEUA MTU AFIKISHWA MAHAKAMANI DAR
Komando wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus. Polisi wakiondoka mahakama ya wilaya Temeke leo na komandoo huyo.…
10 years ago
MichuziBALOZI HAMZA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA JORDAN .
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania