Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simulizi ya Hamza Kalala ‘Komandoo’-1

Kuna wanamuziki ambao wamejipatia umaarufu mkubwa kupitia tasnia ya muziki, kwa kuufanya uvutie ndani na nje ya nchi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

HAMZA KALALA: Komando aliyevuka milima na mabonde

HAMZA Kalala ‘Komando’, ni mkongwe katika tasnia ya muziki hapa nchini, ambaye sifa zake zilianza kuzagaa wakati alipoanza kucharaza gitaa la solo kwa umahiri mkubwa. Alizaliwa mkoani Tanga na kusoma...

 

11 years ago

GPL

HAMZA KALALA: SERIKALI ITUPIE JICHO LA TATU MUZIKI

Stori: Elvan Stambuli
GWIJI wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala ‘Komandoo’ au ‘Mzee wa Madongo’, ambaye pia ni Kiongozi wa Bendi ya Bantu Group ya jijini Dar es Salaam, aliyetembelea chumba chetu cha habari Bamaga Mwenge hivi karibuni, amesema serikali inapaswa kutupia jicho la tatu au kuuangalia muziki wa dansi nchini kwa kuwa unatoa ajira kwa vijana. Gwiji wa muziki wa dansi nchini Hamza Kalala...

 

11 years ago

GPL

HAMZA KALALA, NAY WA MITEGO WALIPOTEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS

Hamza Kalala ‘Komandoo Kalala' akifafanua jambo kwa Mhariri Msaidizi wa Gazeti la Uwazi, Elvan Stambuli wakati wa mahojiano yao yatakayoruka Global TV Online hivi karibuni. Emmanuel Elibariki 'Nay wa Mitego' akila pozi ndani ya ofisi za Global kabla ya kuhojiwa na Global TV Online.…

 

9 years ago

GPL

ANASWA NA KOMBATI ZA KOMANDOO

Kijana Zakaria Joseph akiwa amevalia kombati za jeshi. Na Haruni Sanchawa KIJANA aitwaye Zakaria Joseph 22, (pichani)mkazi wa Maili Moja, Kibaha, mkoani Pwani, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuvaa sare za Jeshi la Wananchi waTanzania (JWTZ), huku akitaka kuzitumia kuwashawishi polisi kutoa dhamana kwa mtu mmoja (jina limehifadhiwa). Taarifa zilizonaswa na gazeti hili zinasema kuwa, kijana huyo amekuwa akizutumia...

 

10 years ago

GPL

ALIYEUAWA NA KOMANDOO WA JWTZ MSIBA WAKE WAZIZIMA

Stori: Makongoro Oging’na Haruni Sanchawa
INAUMA sana! Baadhi ya ndugu waliokuwa wakiuaga mwili wa Aron Kihundwa (28) kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar walijikuta wakidondoka na kuzimia kufuatia uchungu wa kumpoteza mpendwa wao huyo aliyedaiwa kuuawa na Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Octavian Mgowele. Aron Kihundwa akiwa mahututi hospitali kabla ya kifo chake. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita na...

 

10 years ago

GPL

KOMANDOO WA JWTZ ALIYEUA MTU AFIKISHWA MAHAKAMANI DAR

Komando wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus. Polisi wakiondoka mahakama ya wilaya Temeke leo na komandoo huyo.…

 

10 years ago

Michuzi

BALOZI HAMZA AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA MFALME WA JORDAN .

Balozi wa Tanzania nchini Jordani mwenye makazi yake mji wa Cairo nchini Misri Mhe. Mohammed Hamza Mohammed akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Mfalme Abdallah II wa Jordan.Balozi Hamza akimsikiliza Mfalme Abdallah II mara baada ya kumaliza kuwasilisha Hati za Utambulisho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani