Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ALIYEUAWA NA KOMANDOO WA JWTZ MSIBA WAKE WAZIZIMA

Stori: Makongoro Oging’na Haruni Sanchawa
INAUMA sana! Baadhi ya ndugu waliokuwa wakiuaga mwili wa Aron Kihundwa (28) kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dar walijikuta wakidondoka na kuzimia kufuatia uchungu wa kumpoteza mpendwa wao huyo aliyedaiwa kuuawa na Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania, Octavian Mgowele. Aron Kihundwa akiwa mahututi hospitali kabla ya kifo chake. Tukio hilo lilijiri wiki iliyopita na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

KOMANDOO WA JWTZ ALIYEUA MTU AFIKISHWA MAHAKAMANI DAR

Komando wa JWTZ aliyeua mtu mwishoni mwa wiki iliyopita, Octavian Maurus. Polisi wakiondoka mahakama ya wilaya Temeke leo na komandoo huyo.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mrembo, mwanamitindo aliyeuawa kikatili pamoja na mtalaka wake Venezuela

TASNIA ya urembo na maigizo duniani imepata pigo kufuatia mauaji ya mrembo aliyewahi  kutwaa taji la Venezuela mwaka 2004, aliyeuawa pamoja na mtalaka wake.  Monica Spear akiwa na mumewe Thomas...

 

9 years ago

GPL

DEREVA ALIYEUAWA KWA RISASI NA BOSI WAKE, ALIYESHUHUDIA ATOBOA SIRI

Na mwandishi wetu HAKUNA mauaji ya kikatili yaliyoacha machungu kwa ndugu na wananchi kama ya David Kalangula (36), dereva wa gari la kusafirisha mafuta ya petroli mikoani ambaye anadaiwa kupigwa risasi mbili na bosi wake aliyejulikana kwa jina la Hussein Jatta kwa madai ya kutokea kutoelewana kati yao. Marehemu David Kalangula enzi za uhai wake. Tukio hilo lililotetemesha nchi na kuacha gumzo kila mahali, lilijiri usiku wa...

 

10 years ago

Mwananchi

JWTZ liwatimue askari wake wanaolidhalilisha

Tukio la wiki iliyopita ambapo kundi la askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), lilirushiana risasi na polisi wa Kituo cha Stendi, wilayani Tarime, mkoani Mara ni la kushangaza na la kusikitisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndege ya JWTZ yaanguka, rubani wake ajiokoa kwa parachuti

Hali ya taharuki ilitanda kwenye Uwanja wa Ndege wa Mwanza baada ya ndege ya Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kuanguka na kuteketea kwa moto.

 

11 years ago

BBCSwahili

Mgomo mkubwa wazizima afrika Kusini

Wanachama wa chama kikubwa zaidi cha wafanyakazi nchini Afrika Kusini watagoma wakidai mshahara wao kuongezwa kwa kiwango kikubwa.

 

9 years ago

Michuzi

JWTZ YAKANUSHA KUWANYANG'ANYA KADI ZA KUPIGIA KURA MAOFISA NA ASKARI WAKE


Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), Kanali Ngemela Lubinga (katikati), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akikanusha jeshi hilo kuwanyang'anya kadi za kupigia kura maofisa na askari wake kama ilivyodaiwa na kiongozi mmoja wa chama cha siasa. Kulia ni Msaidizi wa Kanali Lubinga, Meja Joseph Masanja na kushoto ni Kapteni Swaleh Omari. Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.Mkutano na wanahabari ukiendelea.

Na...

 

9 years ago

GPL

ANASWA NA KOMBATI ZA KOMANDOO

Kijana Zakaria Joseph akiwa amevalia kombati za jeshi. Na Haruni Sanchawa KIJANA aitwaye Zakaria Joseph 22, (pichani)mkazi wa Maili Moja, Kibaha, mkoani Pwani, anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kosa la kuvaa sare za Jeshi la Wananchi waTanzania (JWTZ), huku akitaka kuzitumia kuwashawishi polisi kutoa dhamana kwa mtu mmoja (jina limehifadhiwa). Taarifa zilizonaswa na gazeti hili zinasema kuwa, kijana huyo amekuwa akizutumia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani