DEREVA ALIYEUAWA KWA RISASI NA BOSI WAKE, ALIYESHUHUDIA ATOBOA SIRI
![](http://api.ning.com:80/files/WLDrVkQ1qFVDIa4BxPftMl2sFO-chwj5l*feRqMToTavTkfsI9IkMy6WO8Hv7lFoOeOXZNFcLZ7rv8*o9KxN1iCVgB-5ehC6/Derevaz.jpg?width=650)
Na mwandishi wetu HAKUNA mauaji ya kikatili yaliyoacha machungu kwa ndugu na wananchi kama ya David Kalangula (36), dereva wa gari la kusafirisha mafuta ya petroli mikoani ambaye anadaiwa kupigwa risasi mbili na bosi wake aliyejulikana kwa jina la Hussein Jatta kwa madai ya kutokea kutoelewana kati yao. Marehemu David Kalangula enzi za uhai wake. Tukio hilo lililotetemesha nchi na kuacha gumzo kila mahali, lilijiri usiku wa...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake
Mgombea Urais kupitia Chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa mara tu baada ya kura kuhesabiwa watayapata matokeo ya uchaguzi mkuu na kuyatangaza kabla hata tume ya uchaguzi kuyapata. Amesema wameandaa system ya […]
The post Maalim Seif atoboa siri za ushindi wake appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/9nG191KtIdhfGPiQDobepOIxwQgRLOx1YQOux4XJF1ENxTxAdBgcuL9TXKB0VkO-hpcIgeSjYobuZYJREhV*FpL7nTCjVAcP/FRONTUWAZI60.jpg?width=650)
ALIYEUAWA KWA KUPIGWA RISASI HUYU HAPA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/*whl3J3XpWS1c2QXFmYSlSnVTjrmG8Fh8P-tWEfPaKMwgsPvIS3hVRV66YKZqhw9sPFnFkWEdgbtJCtGyXnUioUKyMg9NpJF/bosi.jpg?width=650)
BOSI ALIVYONUSURIKA KUUAWA KWA RISASI
10 years ago
Habarileo03 Feb
Dereva wa OCD ajiua kwa risasi
ASKARI aliyekuwa dereva wa Mkuu wa Polisi wa Wilaya (OCD) Manyoni mkoani hapa, Aloyce Alibinus amejiua kwa kujipiga risasi mdomoni na kutokea kisogoni.
5 years ago
BBCSwahili18 May
Joshna Maharaj: Mpishi maarifu atoboa siri kuwa hakuwa na uwezo wa kunusa harufu yoyote kwa miaka mitano
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SRbpV0Al75qA5KvqrKtwSnVkFUWpo9Q5C6tbM*XAMgbgRhuTg5Wruxh51ZM*1QLz6Ua7glw64u5U0z6Vp8hWTUCmWN9WTvnn/houseg.jpg)
HAUSIGELI ATOBOA SIRI
10 years ago
Tanzania Daima05 Dec
Zitto atoboa siri
MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amemlipua Mbunge wa Kishapu mkoani Shinyanga, Suleimani Nchambi (CCM), kuwa ni kati ya waliohusika kugawa rushwa y ash milioni...
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Ofisa Usalama kizimbani kwa mauaji ya bosi wake
NA FURAHA OMARY
OFISA Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe, anayetuhumiwa kumuua bosi wake, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa shitaka la mauaji, akiwa hoi hajiwezi.
Kazembe (33), alifikishwa mahakamani hapo jana asubuhi, akiwa amebebwa na watu wawili huku mguu wake wa kushoto ukiwa umefungwa bandeji kutoka kwenye kisigino hadi ugokoni na mkononi alikuwa na njia ya kuwekea dripu ya maji.
Mshitakiwa huyo, mkazi wa Mwananyamala, ambaye hakuwa na uwezo wowote wa...
9 years ago
Habarileo02 Oct
Pluijm atoboa siri Yanga
KOCHA Mkuu wa Yanga, Hans Pluijm amesema siri kubwa ya kikosi chake kufanikiwa kuvunja mwiko wa kuifunga Mtibwa Sugar ilitokana na wachezaji wake kucheza kwa nidhamu ya kiufundi.