Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Joshna Maharaj: Mpishi maarifu atoboa siri kuwa hakuwa na uwezo wa kunusa harufu yoyote kwa miaka mitano

Joshna Maharaj anaeleza namna alivyoikabili hali hii kwa miaka, baada ya kupoteza uwezo wa kunusa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Je ukipoteza uwezo wa kunusa harufu na ladha ya chakula utakuwa umepata virusi vya corona?

Hata hivyo wataalamu wanasisitiza kuwa dalili kuu ni homa na kikozi ndio za kuzitazama zaidi.

 

9 years ago

GPL

DEREVA ALIYEUAWA KWA RISASI NA BOSI WAKE, ALIYESHUHUDIA ATOBOA SIRI

Na mwandishi wetu HAKUNA mauaji ya kikatili yaliyoacha machungu kwa ndugu na wananchi kama ya David Kalangula (36), dereva wa gari la kusafirisha mafuta ya petroli mikoani ambaye anadaiwa kupigwa risasi mbili na bosi wake aliyejulikana kwa jina la Hussein Jatta kwa madai ya kutokea kutoelewana kati yao. Marehemu David Kalangula enzi za uhai wake. Tukio hilo lililotetemesha nchi na kuacha gumzo kila mahali, lilijiri usiku wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Zitto atoboa siri

MWENYEKITI wa Kamati ya Bunge Hesabu za Serikali (PAC), Zitto Kabwe, amemlipua Mbunge wa Kishapu mkoani Shinyanga, Suleimani Nchambi (CCM), kuwa ni kati ya waliohusika kugawa rushwa y ash milioni...

 

11 years ago

GPL

HAUSIGELI ATOBOA SIRI

Stori: Haruni Sanchawa
NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyiwa ukatili wa kutisha na bosi wake kisha habari zake kuandikwa, ametoa siri nzito, Uwazi limemegewa. Yusta Lucas akionyesha majeraha ya meno aliyong'atwa na bosi yake. Akizungumza kwa uchungu na gazeti hili akiwa wodini kwenye Hospitali ya Mkoa wa Kitabibu Kinondoni,...

 

9 years ago

Mwananchi

CCM itakumbukwa kwa lipi miaka MITANO iliyopita?

Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni. Ni usemi wa wahenga ambao Chama cha Mapinduzi (CCM) kimeamua kuutumia katika kuandaa ilani yake ya Uchaguzi Mkuu ya 2015-2020.

 

10 years ago

Habarileo

Jela maisha kwa kumbaka mtoto wa miaka mitano

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Nzega mkoani Tabora imemhukumu kifungo cha maisha Kashindje Shija (50), baada ya kupatikana na kosa la kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitano.

 

10 years ago

GPL

APEWA JUKUMU LA KUWA MPISHI JESHINI

Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea na simulizi yake tamu ya safari ya maisha, tangu kuzaliwa, makuzi, malezi na kila hatua alizopita katika maisha yake hadi kufika alipo leo. Ni simulizi isiyochosha masikioni! Imejaa kila aina ya vimbwanga, matukio ya kushangaza na wakati mwingine masikitiko. Tuko sehemu ya tano sasa, wiki iliyopita aliishia pale alipoyakumbuka maisha matamu...

 

11 years ago

Mwananchi

Msekwa atoboa siri ya Muungano

>Wiki mbili kabla ya Tanzania kuadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Makamu Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa ametoboa siri ya Muungano huo akisema “mchakato wa kuundwa kwake ulifanywa kwa siri na haraka sana,” kutokana na upepo wa kisiasa na usalama wa kipindi hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani