Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


APEWA JUKUMU LA KUWA MPISHI JESHINI

Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea na simulizi yake tamu ya safari ya maisha, tangu kuzaliwa, makuzi, malezi na kila hatua alizopita katika maisha yake hadi kufika alipo leo. Ni simulizi isiyochosha masikioni! Imejaa kila aina ya vimbwanga, matukio ya kushangaza na wakati mwingine masikitiko. Tuko sehemu ya tano sasa, wiki iliyopita aliishia pale alipoyakumbuka maisha matamu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

Coutinho apewa jukumu zito Yanga

Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbrazili, Marcio Maximo, amempa jukumu jipya zito kiungo mshambuliaji, Andrey Coutinho kwenye kikosi chake.Hiyo ni siku chache tangu ajiunge na kikosi hicho kinachojiandaa na Ligi Kuu Bara na Kombe la Shirikisho Afrika litakalofanyika mwakani. Kiungo mpya wa Yanga, Mbrazili, Andrey Coutinho. Mbrazili huyo, jukumu hilo alilopewa ni kuhakikisha anapiga kona zote za upande wa kulia, yaani...

 

5 years ago

BBCSwahili

Joshna Maharaj: Mpishi maarifu atoboa siri kuwa hakuwa na uwezo wa kunusa harufu yoyote kwa miaka mitano

Joshna Maharaj anaeleza namna alivyoikabili hali hii kwa miaka, baada ya kupoteza uwezo wa kunusa.

 

10 years ago

Michuzi

MSIBA NEW YORK NA TANZANIA. MAZIKO YANATARAJIWA KUWA JUMAPILI JUNE 28,NEW JERSEY,TUTAUAGA MWILI BRONX,NEW YORK. RATIBA HII ITATEGEMEA NA UKAMILIFU WA MICHANGO YETU TAFADHALI CHANGIA ILI TUKAMILISHE JUKUMU HILI KWA PAMOJA.

MAREHEMU MZEE ALFRED MAGEGE.
Jumuiya ya Watanzania New York,New Jersey,Connecticut na Pennsylvania inaungana na Familia ya Magege kwa masikitiko kutangaza kifo cha marehemu Mzee Alfred Magege kilichotokea jumamosi June 13,2015. Marehemu Alfred Magege alisumbuliwa na Saratani ya mifupa kwa zaidi ya miaka kumi.Marehemu ameacha Mke na watoto watatu. Kama kawaida yetu tunaombwa watanzania tujitokeze ili kuwafariji wafiwa.Ili tukamilishe Msiba huu kiasi cha $10,000 kinahitajika.Watanzania...

 

10 years ago

Michuzi

Rais Kikwete atawazwa kuwa chifu msaidizi wa waluguru na chifu kingalu huko kinole, morogoro, apewa jina la Chidukila

 CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14, akijiandaa kumtawaza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kuwa Chifu Msaidizi wa kabila hilo katika sherehe za aina yake zilizofanyika katika uwanja wa Shule ya Msingi ya Kinole, kata ya Makuyuni, Morogoro vijijini Agosti 22, 2014.  Rais Kikwete pia alipewa jina la CHIDUKILA, lenye kumaanisha "muibukaji", kwa maana ya kwamba Rais Kikwete ana uhuru wa kuibuka kijijini Kinole bila taarifa wala kusubiri kualikwa.
 CHIFU wa Waluguru Kingalu Mwanabanzi wa 14,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe

Mwanamume mpishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.

 

11 years ago

Mwananchi

Mpishi mbishi na kususa asusa

Kuna siku niliendMpishi mbishi na kususa asusaa kwenye mkahawa wa bei mbaya nikiwa na hamu sana ya kula chakula ninachokitaka mimi, chakula kitamu potelea mbali kikiwa cha bei mbaya.

 

10 years ago

GPL

Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake

Kocha mpya wa Azam, Muingereza Stewart Hall. Na Hans Mloli, Dar es Salaam
AZAM FC inatarajia kuingia mkataba na kocha wake mpya, Muingereza, Stewart Hall leo lakini kingine kipya ni kwamba kocha huyo atatua na mpishi wake maalum wa timu pamoja na benchi zima la ufundi kutoka nchini Uingereza. Taarifa zilizolifikia Championi Jumatatu kutoka kwa mmoja wa mabosi wa juu wa Azam, zimeeleza kuwa Stewart ameamua kufanya hivyo kwa...

 

9 years ago

Bongo5

Mpoto adai kama asingekuwa msanii angekuwa mpishi

Mrisho Mpoto amedai kama asingekuwa msanii wa muziki, angekuwa mpishi wa vyakula kwa kuwa anapenda kupika. Akizungumza na Global TV, Mpoto alisema kuwa msanii wa muziki ni kitu ambacho hakikutarajia katika maisha yake. “Mimi napenda sana kula labda ningekuwa mpishi,@ alisema Mpoto. Aliongeza, “Mimi nimetokea uswahilini sana tulikuwa hatuna masuala ya vision wala mission. Mimi […]

 

10 years ago

Mwananchi

‘Mpishi wa filamu za Bongo Movie aliyeweka kapuni’ shahada ya uhandisi

Mtunzi na mwongozaji wa filamu maarufu za Bongo Movie, Daniel Leonard Manege ametangaza kuachia filamu mpya akilezeza kuwa atatumia mfumo tofauti wa masoko ili kuhakikisha filamu hiyo iitwayo “Safari ya Gwalu” inawafikia wananchi katika ubora unaotakiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani