Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mpishi mbishi na kususa asusa

Kuna siku niliendMpishi mbishi na kususa asusaa kwenye mkahawa wa bei mbaya nikiwa na hamu sana ya kula chakula ninachokitaka mimi, chakula kitamu potelea mbali kikiwa cha bei mbaya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

Hans Poppe asusa keki, maji

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe. Nicodemus Jonas na Saphyna Mlawa SIMBA imeandika barua kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutaka mwongozo wa Ramadhani Singano ‘Messi’ kutangazwa mchezaji huru, lakini Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Simba, Zacharia Hans Poppe amesema hatotumia keki wala maji ya Azam. Hans Poppe ametoa kauli hiyo kupinga kitendo cha Azam FC kumsajili Messi siku...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mpishi amchinja na 'kumpika' mpenziwe

Mwanamume mpishi nchini Australia, anadaiwa kumuua mpenzi wake na kumkatakata vipande na kupika baadhi ya sehemu zake za mwili.

 

10 years ago

Habarileo

CCM yasikitishwa wapinzani kususa Bunge

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesikitishwa na tabia ya wapinzani kususa mchakato wa Katiba, unaoendelea kupitia Bunge Maalumu linaloendelea mjini Dodoma, wakati ndio wanaolalamika kwamba kero za Muungano hazijapatiwa ufumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

Tanzania kwanza walaani Ukawa kususa

Kundi la Tanzania Kwanza linaloundwa na baadhi ya wajumbe wa Bunge la Katiba limelaani hatua ya kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kwa kususia vikao vya Bunge hilo linaloendelea mjini hapa.

 

10 years ago

GPL

APEWA JUKUMU LA KUWA MPISHI JESHINI

Jacob Steven Mbura ‘JB’. JACOB Steven Mbura ‘JB’ anaendelea na simulizi yake tamu ya safari ya maisha, tangu kuzaliwa, makuzi, malezi na kila hatua alizopita katika maisha yake hadi kufika alipo leo. Ni simulizi isiyochosha masikioni! Imejaa kila aina ya vimbwanga, matukio ya kushangaza na wakati mwingine masikitiko. Tuko sehemu ya tano sasa, wiki iliyopita aliishia pale alipoyakumbuka maisha matamu...

 

10 years ago

GPL

Azam yamalizana na Stewart, atua na mpishi wake

Kocha mpya wa Azam, Muingereza Stewart Hall. Na Hans Mloli, Dar es Salaam
AZAM FC inatarajia kuingia mkataba na kocha wake mpya, Muingereza, Stewart Hall leo lakini kingine kipya ni kwamba kocha huyo atatua na mpishi wake maalum wa timu pamoja na benchi zima la ufundi kutoka nchini Uingereza. Taarifa zilizolifikia Championi Jumatatu kutoka kwa mmoja wa mabosi wa juu wa Azam, zimeeleza kuwa Stewart ameamua kufanya hivyo kwa...

 

11 years ago

GPL

Sakata la kususa Yanga, Okwi aitaja Simba

Mshambuliaji Emmanuel Okwi.
Na Shakoor Jongo
FILAMU ya Emmanuel Okwi na timu yake ya Yanga inaendelea, sasa ni ukurasa mpya baada ya mchezaji huyo raia wa Uganda kutoa kauli. Okwi ambaye inadaiwa kuwa amesusa kuichezea timu hiyo kwa kile kilichoelezwa kuwa hajamaliziwa malipo ya fedha zake za usajili, amesema kuwa hawezi kufunguka zaidi kuhusu kinachoendelea.
Lakini amedai kuwa atafanya hivyo mara baada ya timu yake kuivaa...

 

11 years ago

Mwananchi

BUNGE LA KATIBA: Hatukukosea kususa -Zitto Kabwe

>Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewataka viongozi kuacha kufananisha mchakato wa Katiba na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu

>Siku chache zilizopita msanii  Yesaya Ambwene au AY  aliteuliwa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) kuwa balozi katika ‘Kampeni ya Tokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto.’

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani