Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sakata la kususa Yanga, Okwi aitaja Simba

Mshambuliaji Emmanuel Okwi.
Na Shakoor Jongo
FILAMU ya Emmanuel Okwi na timu yake ya Yanga inaendelea, sasa ni ukurasa mpya baada ya mchezaji huyo raia wa Uganda kutoa kauli. Okwi ambaye inadaiwa kuwa amesusa kuichezea timu hiyo kwa kile kilichoelezwa kuwa hajamaliziwa malipo ya fedha zake za usajili, amesema kuwa hawezi kufunguka zaidi kuhusu kinachoendelea.
Lakini amedai kuwa atafanya hivyo mara baada ya timu yake kuivaa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Simba kama Yanga sakata la Okwi

Siku chache baada ya watani zao Yanga kutaka ripoti ya mwamuzi ionyeshwe hadharani, uongozi wa  Simba nao umefuata nyao hizo kwa kutaka mwamuzi Kennedy Mapunda achukuliwe hatua kali za kinidhamu.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba waijia juu Yanga sakata la Okwi

okwiiNA SAADA AKIDA
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameibuka na kudai hana muda wa kuumiza kichwa juu ya madai ya klabu yaYanga, huku Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya timu hiyo, Zacharia Hanspope akiwapa onyo kuwa endapo watafungua kesi wahakikishe wana vielelezo sahihi.

Yanga ilitangaza kumfungulia kesi ya madai ya fidia Okwi, kwa kumtaka ailipe kiasi cha dola 2,100,000 kwa kuvunja mkataba na ada ya mazoezi, huku ikidai kulipeleka suala hilo Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ili...

 

10 years ago

Michuzi

sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff

Mwenyekiti wa Kamati ya Sheria na Utawala Bora wa klabu ya Young Africans Wakili Sam Mapande - kulia
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...

 

11 years ago

Mwananchi

Simba kulipeleka sakata la Okwi Fifa

Siku moja baada ya Yanga kutangaza  kumsajili mshambuliaji Emmanuel Okwi, uongozi wa Simba umesema hauna ugomvi na mchezaji  huyo licha ya kudai kufuatilia suala hilo Shirikisho la Soka Duniani (Fifa).

 

10 years ago

Mwananchi

Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3

Kama mtindo wa kupiga kura utatumiwa na Kamati ya Sheria, Maadili na Hadhi za Wachezaji ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kuamua hatima ya mshambuliaji Emmanuel Okwi, basi Yanga ina uhakika wa kupata kura nne na Simba kura tatu.

 

10 years ago

TheCitizen

SOCCER: Yanga, Simba in another tussle over Okwi

>A legal battle is brewing over Simba Sports Club’s new signing Emmanuel Okwi.Young Africans have reported the Ugandan striker to the Tanzania Football Federation (TFF) allegedly for penning a deal with their traditional foes without their consent

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga waibeza Simba SC sakata la usajili wa Msuva

Uongozi wa Yanga umeibeza Simba juu ya kauli waliyoitoa hivi karibuni ya kudai kuwa wanaiandikia Yanga barua ya kutaka kumsajili winga wao Simon Msuva.

 

10 years ago

TheCitizen

Simba, Yanga why waste time, money over okwi?

Ugandan Emmanuel Okwi controversially switched from Yanga to Simba last week, leaving the two clubs at each other’s throat.

 

10 years ago

Mwananchi

TAMBO: Simba: Hata bila Okwi Yanga italia tu

>Kocha Msaidizi wa Simba, Selemani Matola amesema pamoja na mshambuliaji Emmanuel Okwi kutimkia Denmark, kipigo kwa Yanga kipo pale pale.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani