SOCCER: Yanga, Simba in another tussle over Okwi
>A legal battle is brewing over Simba Sports Club’s new signing Emmanuel Okwi.Young Africans have reported the Ugandan striker to the Tanzania Football Federation (TFF) allegedly for penning a deal with their traditional foes without their consent
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen18 Oct
SOCCER: Simba, Yanga renew rivalry
10 years ago
Mwananchi04 Sep
Usajili wa Okwi: Yanga 4, Simba 3
10 years ago
Mwananchi28 Jan
Simba kama Yanga sakata la Okwi
10 years ago
Mtanzania15 Jan
Simba waijia juu Yanga sakata la Okwi
NA SAADA AKIDA
MSHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi, ameibuka na kudai hana muda wa kuumiza kichwa juu ya madai ya klabu yaYanga, huku Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya timu hiyo, Zacharia Hanspope akiwapa onyo kuwa endapo watafungua kesi wahakikishe wana vielelezo sahihi.
Yanga ilitangaza kumfungulia kesi ya madai ya fidia Okwi, kwa kumtaka ailipe kiasi cha dola 2,100,000 kwa kuvunja mkataba na ada ya mazoezi, huku ikidai kulipeleka suala hilo Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) ili...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/czF6wJsbSj3lmUatU1Qfhk87s3o*8OUdmLfZiPSBw7ezGWgGLwQxG*7gvk78t-RlmgWW*UzYAbM731CQwiAHnUSmMLIbfuP2/OKWI.jpg?width=650)
Sakata la kususa Yanga, Okwi aitaja Simba
10 years ago
TheCitizen06 Sep
Simba, Yanga why waste time, money over okwi?
10 years ago
Mwananchi13 Jul
TAMBO: Simba: Hata bila Okwi Yanga italia tu
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ws8ZUKcMJII/U_9lIrjSr2I/AAAAAAABLxA/PuEl3wjc1g4/s72-c/IMG_2204.jpg)
OKWI AREJEA SIMBA SC KUCHEZA KWA MUDA KULINDA KIPAJI CHAKE WAKATI KESI YAKE NA YANGA IKIENDELEA
Na Mahmoud Zubeiry, DAR ES SALAAMSTAILI ile ile waliyotumia Yanga SC kumpata mshambuliaji Emmanuel Arnold Okwi ndiyo ambayo klabu yake ya zamani, Simba SC inaitumia kumrejesha kundini Mganda huyo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jioni hii mjini Dar es Salaam, Okwi amesema kwamba amesaini Simba SC mkataba huru wa muda, baada ya Yanga SC kumpa barua ya kusitisha mkataba naye jana pamoja na kumshitaki Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).
Okwi amesema ameamua kuomba kuichezea Simba SC kipindi...