Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yasikitishwa wapinzani kususa Bunge

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesikitishwa na tabia ya wapinzani kususa mchakato wa Katiba, unaoendelea kupitia Bunge Maalumu linaloendelea mjini Dodoma, wakati ndio wanaolalamika kwamba kero za Muungano hazijapatiwa ufumbuzi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Aibu ni chaguzi za Z’bar, sio wapinzani kususa Bunge

BAADA ya yaliyotokea wiki iliyopita katika shughuli ya uzinduzi wa Bunge, watu wengi, hususan wan

Njonjo Mfaume

 

11 years ago

Mwananchi

BUNGE LA KATIBA: Hatukukosea kususa -Zitto Kabwe

>Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewataka viongozi kuacha kufananisha mchakato wa Katiba na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta apata wapinzani uenyekiti Bunge la Katiba

Wakati Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akichukua kwa mbwembwe fomu za kuwania nafasi ya uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba jana, wajumbe wengine watatu nao wamejitokeza kuwania nafasi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Katibu wa zamani Bunge la Afrika awakosoa wapinzani

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Bunge la Afrika na Kenya, Murumba Werunga, amevitaka vyama vya upinzani nchini, kuhakikisha vinachangia katika kutoa mawazo yao juu ya masuala ya maendeleo na si kupinga kila kitu kinachowasilishwa na Serikali.

 

5 years ago

Michuzi

Ole Sendeka awaeleza wapinzani kupiga picha zamwisho na Zuria la Bunge



Ole Sendeka awaeleza wapinzani kupiga picha za mwisho na Zuria la Bunge

Na Amiri Kilagalila,Njombe

Ikiwa zimebaki siku 9 ili kuvunjwa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania,tayari kuelekea katika shughuli za uchaguzi wa awamu ya 6 hapo Octoba 2020.

Mkuu wa mkoa wa Njombe Cristopher Ole Sendeka amewataka wabunge wa vyama vya upinzani kutumia siku chache zilizobaki kupiga picha na zuria la Bunge pamoja na bendera ya Bunge kwa ajili ya kumbu kumbu kwa kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuingia...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

CCM: Ndoa ya wapinzani ‘feki’



 Yasema kuing’oa madarakani ni ndoto za alinacha Viongozi wa vyama vilivyoungana kila mmoja anatafuta ulaji Mangula awaonya viongozi wa wilaya kutowagawa wanachama
NA SELINA WILSON
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema  hakitishiwi nyau kuungana kwa vyama vinne vya upinzani kwa lengo la kuking’oa madarakani.

 Kimesema muungano huo wa wapinzani si halali na ni sawa na ndoa ya mkeka.
Pia kimesema ni ndoto za alinacha kwa wanandoa hao wa msimu, ambao kila mmoja anatafuta ulaji, kuing’oa CCM, ambayo...

 

11 years ago

Mwananchi

CCM ilivyowaunganisha wapinzani bungeni

Kadri muda unavyozidi kwenda, ndivyo mambo yanavyozidi kuwa magumu na kuwaweka njiapanda Watanzania juu ya uwezekano wa kupata Katiba Mpya.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli aunganisha CCM na wapinzani nchini

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli, ameanza mkakati wa kukusanya kura kutoka vyama tofauti, ikiwemo vyama vinavyounda kundi la Ukawa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapinzani walia CCM kuwachezea rafu

Vyama vya CUF na Chadema vimekitupia lawama Chama cha Mapinduzi (CCM) vikidai kimecheza rafu katika mchakato wa Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaofanyika leo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani