Ole Sendeka awaeleza wapinzani kupiga picha zamwisho na Zuria la Bunge
![](https://1.bp.blogspot.com/-Hc3PLzHylGY/XuDDJkYme0I/AAAAAAALtV4/MJeZqP0rRwQjxt_IFfgZT8ybaBwEA5KSwCLcBGAsYHQ/s72-c/A.jpg)
Ole Sendeka awaeleza wapinzani kupiga picha za mwisho na Zuria la Bunge
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Ikiwa zimebaki siku 9 ili kuvunjwa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania,tayari kuelekea katika shughuli za uchaguzi wa awamu ya 6 hapo Octoba 2020.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Cristopher Ole Sendeka amewataka wabunge wa vyama vya upinzani kutumia siku chache zilizobaki kupiga picha na zuria la Bunge pamoja na bendera ya Bunge kwa ajili ya kumbu kumbu kwa kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuingia...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Bongo wengi waoga kupiga picha kwenye zuria jekundu katika ‘Event’
Mama wa Mitindo Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Fabak fashions ya Mikocheni kwa Mwalimu Nyerer, Asia Idarous Khamsin akipita kwa madaha kwenye zuria jekundu.
Mama wa Mitindo, Asia Idarous anaeleza kuwa, desturi ya kupita kwenye zuria inampa muhusika kujiamini hasa akiwa kwenye muonekano wa aina yoyote ile. Hali hiyo imepelekea ‘event’ nyingi zinazofanyika hapa Nchini na nchi zingine kuwa na utaratibu maalum ikiwemo kupamba eneo la kuingilia ili wanaohudhulia tafrija ama tukio maalum kupita...
9 years ago
Raia Mwema20 Nov
11 years ago
IPPmedia21 Jan
Simanjiro MP, Christopher ole Sendeka
IPPmedia
IPPmedia
Simanjiro MP Christopher ole Sendeka has urged donors who fund different developmental projects in the district to disclose their sources of funding, in an effort to refrain from the use of 'dirty money'. The MP issued the directive at the weekend during the ...
11 years ago
Mwananchi06 Mar
SMZ yapinga kauli ya Ole Sendeka
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi
10 years ago
Vijimambo31 Jul
OLE SENDEKA AKANUSHA KUHAMIA CHADEMA
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/07/index19.jpg)
Uvumi ulioenezwa na mitandao ya kijamii kuwa mh.Christopher Ole Sendeka anahamia chadema ameikanusha na kusema kuwa haina tija na niupotoshaji wa jamii na kuwa yeye atabakia kuwa muuumini wa chama cha Mapinduzi wala hajaona chama mbadala zaidi ya chama hicho.
Sendeka ameyasema hayo leo wakati akiongea na vyombo vya habari jijini hapa na kuwataka wanaoeneza kuacha mara moja kumuhusisha na kuhamia kwenye chama hicho kwani yeye ni muumini wa CCM.
Alisema kuwa hajaona chama...
11 years ago
Tanzania Daima03 Jul
Ole Sendeka akoleza moto fedha za Escrow
MBUNGE wa Simanjiro, Christopher ole Sendeka (CCM), amezidi kukoleza moto wa sakata la uchotwaji fedha za akaunti ya Tegeta Escrow, dola milioni 250 za Marekani, akisema serikali inapaswa kuweka ukweli...
11 years ago
TheCitizen10 Mar
Surprise as Ole Sendeka salutes bitter rival
9 years ago
IPPmedia28 Oct
Ole Sendeka fails to retain his Simanjiro parliamentary seat
IPPmedia
IPPmedia
Christopher Ole Sendeka, CCM's maverick politician yesterday fell short of enough votes to retain his Simanjiro parliamentary seat after being defeated by Chadema's James Ole Millya. The same fate befell his younger brother Simleck Ole Sendeka who was ...