Bongo wengi waoga kupiga picha kwenye zuria jekundu katika ‘Event’
Mama wa Mitindo Tanzania na Mkurugenzi Mkuu wa Fabak fashions ya Mikocheni kwa Mwalimu Nyerer, Asia Idarous Khamsin akipita kwa madaha kwenye zuria jekundu.
Mama wa Mitindo, Asia Idarous anaeleza kuwa, desturi ya kupita kwenye zuria inampa muhusika kujiamini hasa akiwa kwenye muonekano wa aina yoyote ile. Hali hiyo imepelekea ‘event’ nyingi zinazofanyika hapa Nchini na nchi zingine kuwa na utaratibu maalum ikiwemo kupamba eneo la kuingilia ili wanaohudhulia tafrija ama tukio maalum kupita...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziOle Sendeka awaeleza wapinzani kupiga picha zamwisho na Zuria la Bunge
Ole Sendeka awaeleza wapinzani kupiga picha za mwisho na Zuria la Bunge
Na Amiri Kilagalila,Njombe
Ikiwa zimebaki siku 9 ili kuvunjwa Bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania,tayari kuelekea katika shughuli za uchaguzi wa awamu ya 6 hapo Octoba 2020.
Mkuu wa mkoa wa Njombe Cristopher Ole Sendeka amewataka wabunge wa vyama vya upinzani kutumia siku chache zilizobaki kupiga picha na zuria la Bunge pamoja na bendera ya Bunge kwa ajili ya kumbu kumbu kwa kuwa itakuwa ni vigumu kwao kuingia...
10 years ago
Vijimambo9 years ago
Global Publishers07 Jan
Harusi ya Karne Bongo, Kupiga Picha Kenya, Honeymoon Ugiriki
Maharusi, James Katagila na Prugensiana Kahandukahao (waliopo katikati) wakipendeza katika pozi na wapambe wao.
HARUSI ya karne Bongo ndilo neno linalopendeza kutamkwa kuelezea bonge la sherehe ya ndoa inayoendelea kuwa gumzo kubwa kwenye vinywa vya wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam.
Harusi hiyo ilifanyika Jumamosi iliyopita kwenye Ukumbi wa Mlimani City, Dar baada ya ndoa kufungwa kwenye Kanisa la Kristo Mfalme, Tabata kati ya bwana harusi, James Katagila na bibi harusi, Prugensiana...
10 years ago
Dewji Blog30 Aug
Wanaume wengi waoga kusindikiza wake zao Kliniki — TMEP
Meneja mawasiliano wa mradi wa ushiriki sawa wa wanaume katika masuala ya afya ya uzazi na ujinsia unaofadhiliwana shirika lisilo la kiserikali la nchini Sweden (Sweden association for sexual education-RFSU), Eugenia Msasanun akifuatilia uendeshaji wa mafunzo kwa waandishi wa habari 35 wa mikoa ya Singida na Rukwa yaliyomalizika jana mjini Iringa.
Na Nathaniel Limu, Iringa
WANAUME nchini wameshauriwa kuondokana na mawazo potofu kwamba kliniki ni kwa ajili ya wanawake pekee, badala yake...
11 years ago
GPLWANANCHI WENGI WAJITOKEZA KUPIGA KURA KATIKA UCHAGUZI JIMBO LA KIEMBESAMAKI
9 years ago
Bongo528 Dec
Picha: MC Pilipili afanya kile wachekeshaji wengi wa Bongo wanaogopa kufanya mikoani
Sio Alikiba na Diamond Platnumz tu waliojaza nyomi kwa show zao za sikukuu ya Christmas.
Wakati wakali hao na wasanii wengine wa muziki wakiingiza mamilioni ya shilingi jijini Dar es Salaam, mchekeshaji maarufu, MC Pilipili alikuwa na show ya kwanza ya komedi mjini Dodoma na kuvuta nyomi la kufanya mtu.
Sio kitu cha kawaida kwa mchekeshaji wa Tanzania kuvutia umati mkubwa wa watu mkoani, tena kwenye ukumbi maarufu kwaajili ya show ya komedi tu.
Kwenye wikiendi iliyopita, mchekeshaji...