Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Aibu ni chaguzi za Z’bar, sio wapinzani kususa Bunge

BAADA ya yaliyotokea wiki iliyopita katika shughuli ya uzinduzi wa Bunge, watu wengi, hususan wan

Njonjo Mfaume

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

CCM yasikitishwa wapinzani kususa Bunge

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesikitishwa na tabia ya wapinzani kususa mchakato wa Katiba, unaoendelea kupitia Bunge Maalumu linaloendelea mjini Dodoma, wakati ndio wanaolalamika kwamba kero za Muungano hazijapatiwa ufumbuzi.

 

11 years ago

Mwananchi

MAONI: Wasanii wetu kususa tamasha ni aibu

>Siku chache zilizopita msanii  Yesaya Ambwene au AY  aliteuliwa na Shirika la Kuhudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (Unicef) kuwa balozi katika ‘Kampeni ya Tokomeza Ukatili Dhidi ya Watoto.’

 

10 years ago

Mwananchi

Bila kuondoa kasoro chaguzi Serikali za Mitaa, wapinzani ni wasindikizaji tu

Tukio kubwa linalotazamwa kwa umakini na wanasiasa wa Tanzania hivi sasa, ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

 

11 years ago

Mwananchi

BUNGE LA KATIBA: Hatukukosea kususa -Zitto Kabwe

>Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe amewataka viongozi kuacha kufananisha mchakato wa Katiba na ushabiki wa mpira wa Simba na Yanga.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tuvunje Bunge la Katiba tufanye maandalizi mazuri ya chaguzi zijazo

MAMBO yanayotokea sasa hivi kisiasa kusema kweli si alama nzuri ya ustawi wa jamii yetu. Watanzania walikuwa na bahati ya kuandika katiba yao wenyewe lakini bahati mbaya mchakato huo umetekwa na kuvurugwa na wanasiasa...

 

11 years ago

GPL

NI AIBU ILIOJE BUNGE LA KATIBA!

NIMSHUKURU sana Mwenyezi Mungu kwa mara nyingine kwa kutuwezesha kuwa pamoja tena leo, tukijadili mambo muhimu ya taifa letu, ambalo kwa sasa lipo katika mchakato wa kupitia Rasimu ya Katiba, ambao kama utakwenda vizuri, nchi yetu itakuwa na katiba mpya wakati wa Uchaguzi Mkuu ujao. Zaidi ya Watanzania wenzetu 640 wapo katika majengo ya Bunge mjini Dodoma, wakiifanya kazi hiyo muhimu kabisa, ambayo inahitaji umakini wa hali ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hii ni aibu ya Bunge la Katiba

NIMESHAWISHIKA kuandika mtazamo huu kutokana na kushindwa kuwaelewa watu wanaoitwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. Sina shaka na Rais Jakaya Kikwete kuwateua wajumbe hao, lakini kwa matendo yao nalazimika...

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta apata wapinzani uenyekiti Bunge la Katiba

Wakati Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta akichukua kwa mbwembwe fomu za kuwania nafasi ya uenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba jana, wajumbe wengine watatu nao wamejitokeza kuwania nafasi hiyo.

 

11 years ago

Habarileo

Katibu wa zamani Bunge la Afrika awakosoa wapinzani

ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa Bunge la Afrika na Kenya, Murumba Werunga, amevitaka vyama vya upinzani nchini, kuhakikisha vinachangia katika kutoa mawazo yao juu ya masuala ya maendeleo na si kupinga kila kitu kinachowasilishwa na Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani