Bila kuondoa kasoro chaguzi Serikali za Mitaa, wapinzani ni wasindikizaji tu
Tukio kubwa linalotazamwa kwa umakini na wanasiasa wa Tanzania hivi sasa, ni Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima23 Sep
Watabiri machafuko chaguzi serikali za mitaa
MAKUNDI maalumu katika jamii mkoani hapa, yametabiri machafuko ya kisiasa kutokea nchini katika chaguzi zijazo za serikali za mitaa. Hayo yamebainishwa na Mwenyekiti wa watu wenye ulemavu wa ngozi mkoani...
10 years ago
StarTV16 Dec
Uchaguzi serikali za mitaa, Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Na, Winifrida Ndunguru
Dar Es Salaam.
15 December 2014
UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA: Serikali yakiri kuwepo na kasoro lukuki.
Serikali imekiri kuwepo kwa kasoro luluki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa uliofanyika nchini kote Jumapili wiki hii likiwemo suala zima la mkanganyiko wa jina la mgombea kuonekana katika chama kingine.
Waziri wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMISEMI, Hawa Ghasia, amesema kutokana na kasoro hizo ameitaka mikoa...
10 years ago
Tanzania Daima15 Nov
Vijiji, vitongoji vipya kushiriki chaguzi Serikali za mitaa
MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Yona Maki, amesema jumla ya vijiji 151 na vitongoji 746 vitashiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba mwaka huu. Akizungunguza...
5 years ago
MichuziSERIKALI IMEJIPANGA KUONDOA KASORO ZILIZOJITOKEZA KWENYE MIRADI YA REA-MGALU
Ayasema hayo,Februari 26,2020, wakati akizungumza na wananchi wa kijiji cha Kiromba,Kata ya Kiromba,Wilaya ya Mtwara vijiji,Mkoani Mtwara,kabla ya kuwasha umeme kwenye kijiji hicho.
Amezitaja baadhi kasoro hizo nia pamoja na baadhi ya wakandarasi kupewa maeneo makubwa ya...
10 years ago
GPL
NGELEJA: SERIKALI ZA MITAA TUMEWAKIMBIZA WAPINZANI
9 years ago
Raia Mwema25 Nov
Aibu ni chaguzi za Z’bar, sio wapinzani kususa Bunge
BAADA ya yaliyotokea wiki iliyopita katika shughuli ya uzinduzi wa Bunge, watu wengi, hususan wan
Njonjo Mfaume
10 years ago
Vijimambo12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA





10 years ago
Michuzi12 Dec
CCM YAWASAMBARATISHA UKAWA UCHAGUZI SERIKALI ZA MITAA DAR, YAZOA MAELFU YA VITI BILA KUPIGWA
10 years ago
Vijimambo
CHAGUZI ZA MITAA KATIKA PICHA JIJINI DAR

